Uchaguzi 2020 Mheshimiwa Mbowe Jimbo la Hai ni dogo sana, mpige tafu Lissu

Uchaguzi 2020 Mheshimiwa Mbowe Jimbo la Hai ni dogo sana, mpige tafu Lissu

Tangu uonekane pale Zakheim ukiwafurusha TBC, na kumwaga nondo jinsi CCM inavyowatesa watanzania kwa zaidi ya miaka mitano umekuwa kimya.

Umemuacha Lissu apambane peke yake, na sasa mgombea wetu ni kama amepanick,kwa hiyo anahitaji msaada wa mwenyekiti wa chama.

Maana wewe kuwepo kunaweza kumtuliza ili asiropoke maneno hovyo. Maana wengine wameanza kusema anakiuka maadili na sheria za uchaguzi,kwa kuanza kuropoka hovyo.

Mbona Zitto anagombea ubunge lakini anafanya kampeni huko kusini na Zanzibar. Pia na wewe ungana na Lissu ili kuongenza nguvu.
Magu pumuzi imekata betri inaweza imeisha charge, yupo Dodoma anahangaika kumchungulia lissu kwenye wassap
 
Usiongee usilolijua labda nikudokeze ni kwamba mbowe anamwandaa lisu ili aweze kubeba jahazi la CHADEMA hivyo uchaguzi huu ni kama mazoezi ya 2025 ,hii ni siri ya jeshi nimekumegea we tumbili
 
Unajiaibisha tu
Huna uchungu na mgombea wako.
FB_IMG_1600873574893.jpg
 
Back
Top Bottom