Uchaguzi 2020 Mheshimiwa Mbowe Jimbo la Hai ni dogo sana, mpige tafu Lissu

Magu pumuzi imekata betri inaweza imeisha charge, yupo Dodoma anahangaika kumchungulia lissu kwenye wassap
 
Usiongee usilolijua labda nikudokeze ni kwamba mbowe anamwandaa lisu ili aweze kubeba jahazi la CHADEMA hivyo uchaguzi huu ni kama mazoezi ya 2025 ,hii ni siri ya jeshi nimekumegea we tumbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…