Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Money Penny nimekusoma. Lakini mbona unaomba msaada huku umejificha? Hata kama anataka kukupa atakuona wapi? wewe ni KE au ME? Nauliza hivyo kwani najua hawa wazee wetu macho yao yanapoona KE huwa yanavutika zaidi. Lakini inabidi ujitoe kwenye hilo gamba la ''Money Penny'' ulilojivika!
Da.... kwa hiyo picha hata uwaziri utapata! Maksi zote unazo.. at least za theory. Hata practicle nadhani uko vizuri. Mkao unazungumza wenyewe!We tulia bwanA
We unadhani yeye hajui mana ya Money penny Boss wa Tanzania yote asijue Money penny? !
Woi dnorooobooee kwa hilo hapana
Picha yangu pia inajieleza
Na shepu yako yote hiyo plus chura bado unakula majani kama mbuzi jamani??![emoji53][emoji53][emoji53]Sawa tu baba njaa kali miaka 6 sijala ugali nakula majani kama mbusi
Nipo tayari,handle it(chura) to me and you will never it majani again!![emoji53][emoji53][emoji53][HASHTAG]#THISISTANZANIA[/HASHTAG]
ahahahahaha uuuuwi
Yajayo yanafurahisha Upo Tayari?!
Japo ni cover tu lakini kwenye cover kuna mengi unayoweza kujua juu ya kitabu. Unakuta zile label za ''BEST SELLING'' au ''PULITZER AWARD WINNING'' nk. Hapo kitabu kitakuwa kibaya? Thubutu!Don' judge the book by it's cover
Kila siku nakueleza mwana wee hunielewi
Uchumi unao umeukalia tu.Jaaaaaaaaaamaaaaaaani SINA ajiiiiiraaaa
NAOMBA MHESHIMIWA RAISI WANGU MZURI WA TZ anichague na mimi basi aniweke popote tu hata kule CCM hamna shida nitakaa
Mimi napenda Kazi sina masihara
YESU ALISEMA OMBENI NANYI MTAPEWA NA MIMI NAOMBA AJIRA BASI
On a Serious Note Tutakumiss Mzee wetu MHESHIMIWA Mzee Kinana
Hamna lolote jipya litakalotokea Zaidi zitakuja sura mpya tu.. tena mambo yanaweza kuwa mabaya Mara 1000.. Bora liende ivi iviWatanzania daini katiba mpya na tume huru CCM itoke vinginevyo mtapata tabu Sana.
Kazi inatafutaje kazi!?Kwahiyo niendelee kulia huenda nikaitwa ee
Safi, mzima wewe?Vepe shem