Mheshimiwa Rais Samia amejipambanua kimataifa kwa kuipa lugha ya Kiingereza umuhimu wake

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Tunaipenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili lakini hatuwezi kuipuuza lugha ya Kiingereza iliyotumika tangu ukoloni hadi 2015 ilipoanza kupoteza umaarufu.

Lugha zote ni muhimu and 'they perfom the same function'


 
Kingereza ni kizuri lakini kwa watanzania, umuhimu wake hauna utofauti na wajumbe wakati wa kura za maoni CCM!
Yaani kujigamba kujua kingereza, kulisababisha Lissu aambulie kura kiduchu kutoka kwa wananchi! Tanzania ukijitia kujua na kuongea hiyo lugha unapondwa! Sijui kwa nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…