Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Ndo hapo sasa.Kiingereza raha yake ukijue vizuri, usipokifahamu lazima utafute uchochoro
well wishes imebeba ujumbe huo mkuuMbona hajawashukuru waliompa pole/waliotoa salami za rambirambi
(condolences)
Washukuru wewe mkuu.Mbona hajawashukuru waliompa pole/waliotoa salami za rambirambi
(condolences)
Kweli tupuKiingereza raha yake ukijue vizuri, usipokifahamu lazima utafute uchochoro
TeteteteteSASA mlitaka Jiwe atumie kingereza gani?. Jiwe alikuwa 'Mzarendo'.
Msiba ulikuwa wa taifa zima na siyo yeye binafsi. Ameupata urais yeye binasfi atawale taifa hili, ndiyo apongezwa kwa hiloMbona hajawashukuru waliompa pole/waliotoa salami za rambirambi
(condolences)
Uzuri wa kinge hakina mbwembwe,ulitaka aandike paragraph kama mswahili?Mbona hajawashukuru waliompa pole/waliotoa salami za rambirambi
(condolences)
Kingereza ni kizuri lakini kwa watanzania, umuhimu wake hauna utofauti na wajumbe wakati wa kura za maoni CCM!Tunaipenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili lakini hatuwezi kuipuuza lugha ya Kiingereza iliyotumika tangu ukoloni hadi 2015 ilipoanza kupoteza umaarufu.
Lugha zote ni muhimu and 'they perfom the same function'
View attachment 1736446
View attachment 1736447
Daaah watu wamejificha sana kwenye chaka la Kiswahili chini ya JPM, sasa ni zama mpya itabidi tumtafute Ras SimbaWengine si tulikua tunaidis lugha kwakua hatujui....muda wa kurudi kwa ras simba sasa.
Ukijua chocho yake unishtueDaaah watu wamejificha sana kwenye chaka la Kiswahili chini ya JPM, sasa ni zama mpya itabidi tumtafute Ras Simba