Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ngoja nimuone Ras Simba ni book siti ntakushtuaUkijua chocho yake unishtue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nimuone Ras Simba ni book siti ntakushtuaUkijua chocho yake unishtue
Ngoja mwimbo wa Taifa uanze kupotea Ikulu na baadala yake Taarab ndio italamakiHuyu mama tumuongezee muda atawale maisha, naunga mkono hoja atake asitake ataongezwa
Hii lugha wiki mbili zilizopita lilikuwa kosa la jinai kuisifu hadharani Kama ilivyokuwa kuchinja Mbuzi na kualika majirani kabla ya marehemu kuzikwa.Tunaipenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili lakini hatuwezi kuipuuza lugha ya Kiingereza iliyotumika tangu ukoloni hadi 2015 ilipoanza kupoteza umaarufu.
Lugha zote ni muhimu and 'they perfom the same function'
View attachment 1736446
View attachment 1736447
Wananchi walichagua lissu, Mahera & co. wakateua wamtakayeYaani kujigamba kujua kingereza, kulisababisha Lissu aambulie kura kiduchu kutoka kwa wananchi!
Na utawachukia mno waliokileta kiingereza na utawaona ni mabeberu wabaya sana!Kiingereza raha yake ukijue vizuri, usipokifahamu lazima utafute uchochoro
Mahera yupo sijamuona hata msibani.Kingereza ni kizuri lakini kwa watanzania, umuhimu wake hauna utofauti na wajumbe wakati wa kura za maoni CCM!
Yaani kujigamba kujua kingereza, kulisababisha Lissu aambulie kura kiduchu kutoka kwa wananchi! Tanzania ukijitia kujua na kuongea hiyo lugha unapondwa! Sijui kwa nini!
Kiingereza raha yake ukijue vizuri, usipokifahamu lazima utafute uchochoro
Hii minne ni kionjeo tu, kumi yake inamsubiri Mungu akimjalia.Huyu mama tumuongezee muda atawale maisha, naunga mkono hoja atake asitake ataongezwa
... Ha ha ha. Uchochoro wa kuficha upumbavu wako ikibidi hata kupiga watu risasi!Kiingereza raha yake ukijue vizuri, usipokifahamu lazima utafute uchochoro
... Kwa kweli kilidunda! Naye akakichukia mazima to an extent ya kukifuta kabisa. Sijawahi kuona kitu cha aina hii kwa kweli. Solution ilikuwa ndogo tu learn, learn, learn. That simple!Jiwe english ilikataa aisee
Watoto wa viongozi wa CCM na viongozi wa serikali na bunge na mahakama na viongozi wa upinzani watoto wao husoma English.Medium kuanzia Chekechea!!! za privateHii lugha ilifanya watu washindwe kwenda ulaya