Mheshimiwa Rais sidhani kama kupenda Kwako kila mara ' Kumtajataja ' hadharani TISS DG Dkt. Kipilimba ni sawa Kiuweledi

Mwandiko ni tatizo,kwanini unafanya maandishi yako kuwa madogo?Kiukweli huwa napata tabu kusoma mabandiko yako kutokana na size ya maandishi!

Pole na sifikirii kubadili kwani nadhani kama yangekuwa na shida nisingepata ' Wafuasi ' wengi wa ' Mabandiko ' yangu hapa Jamvini. Nenda CCBRT kawaambie warekebishe macho yako ili uwe unamsoma vyema GENTAMYCINE wa Mtandaoni JamiiForums vinginevyo utakuwa unakosa ' Uhondo ' wangu ambao kila siku upo na ninao hapa.
 
Basi kwaheri
 
Basi kwaheri

Mwandiko wangu ungekuwa unakusumbua ungekuwa na uwezo wa Kusoma ' posts ' zangu na Kuzijibu hivi? Nikisema kuwa kama kuna Watu ambao wanaongoza kwa ' Unafiki ' duniani ni Watanzania msiwe mnanibishia kwani sijakosea na nipo sahihi kwa 100% zote.
 
Uoga ulio pitiliza ndio sababu inayo mfanya atajetaje majina ya watu na vyeo vyao.
 
Kajipange upya ' Mpuuzi ' mkubwa Wewe!
Inonyesha kabisa kuwa huna busara kabisa kichwani mwako kama mtu mzima kutwa kwenye mitandao ni kutukana watu basi ni moja ya dalili kuwa umepitia maisha magumu sana utotoni mwako huku ukijifanya umeishi ikulu ya Entebe.Picha kamili iko kwenye maandiko yako na kujifanya unajua sana.Na hiyo ndiyo picha yako kamili kuhusu wewe unayejiita jina la dawa inayotibu magonjwa ya mfumo wa mkojo kundi la aminoglycosides.......developmental pyschology yako inatupa picha kamili jinsi ilivyozaliwa mpaka hapo ulipo.Pole sana na yote uliyopitia na ndiyo imekufanya jinsi ulivyo Mungu akusadie sana.
 
Mwandiko wangu ungekuwa unakusumbua ungekuwa na uwezo wa Kusoma ' posts ' zangu na Kuzijibu hivi? Nikisema kuwa kama kuna Watu ambao wanaongoza kwa ' Unafiki ' duniani ni Watanzania msiwe mnanibishia kwani sijakosea na nipo sahihi kwa 100% zote.
Mkuu si uweke normal tu kama waandishi wengi tu humu!Mimi binafsi nimesoma bandiko hili kwa tabu!
Lilikuwa ombi tu!
Baada ya ombi ukaniambia niende nikatibiwe macho,ndio maana nikaona isiwe tabu ngoja nikae kando tu!
 
Anachokifanya Rais ni ulimbukeni na ni hofu ya mtu asiyejiamini.
Hawa watu wanafanya mambo mengi mazuri kwa manufaa ya nchi yao na raia wote...na kama ilivyo kawaida ya binadamu huwa tunakosea na wao kadhalika.
Rais Magufuli ni raia wa kawaida na hakupikwa au hakupitia kikaangoni kumuandaa kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yetu ndio maana tunashuhudia mambo mengine ya kulitia taifa aibu kama haya.
Watu wa Itifaki inabidi wamshauri kuhusiana na tabia,mwenendo na hulika ya kuwa Mkuu wa Nchi.

Mipasho,ubabe,udaku na mengine ya aina hii sio sifa ya kiongozi wa nchi.
 

Masahihisho sijaishi IKULU ya ENTEBBE bali nimeishi IKULU ya NAKASERO na sijaishi tu huko bali hata ' Udogoni ' mwangu pia niliwahi kuwepo mara kwa mara IKULU yako ya Magogoni kama sehemu ya Wanafamilia wa Kiukoo na ' Muasisi ' mwenyewe Mwalimu Nyerere. Bado unataka nikupe na mengineyo au niishie tu hapa? Halafu na kwa kukuonyesha kuwa pamoja na kuwepo kote huko ila sijabadilika na maisha yangu yameendelea kuwa yale yale ya kuishi ' Simple Life ' huku na Mimi pia nikipambana kutafuta maisha yangu na nisiishi kwa migongo ya hao niliopitia mikononi mwao akina Museveni na Hayati Nyerere. Na hata hivi karibuni tu kutokana na Historia pia ya Kirafiki ya muda mrefu hasa Kipindi alichokuwa hapa Tanzania napanga pia kwenda Kumtembelea Rais wa Rwanda Kagame. Nakumbuka Kauli ya Hayati Baba wa Taifa alikuwa akipenda kutuambia kuwa kama kuna Watu ambao tunatakiwa kuwapenda basi ni hawa Majirani zetu hasa wa Kijiografia kwani Sisi sote ni Ndugu moja sema tu ni ' Hila ' za Wazungu ( Wakoloni ) ndizo zimetutenganisha kama pia siyo Kutugawa hivi. Naomba niishie hapa tafadhali na nikuache na ' Upumbavu / Upopoma ' wako huo ambao unakusumbua.

Kazi Kwako!
 
Mimi kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa ni public figure ndio maana katika shughuli mbalimbali za kitaifa huwa anaambatana/hukaa pamoja na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama. Mkurugenzi wa Idara huteuliwa na uteuzi huo huwa sio siri, ukimgoogle jina lake unapata taarifa mbalimbali kuhusu yeye personally na Idara anayoiongoza. Kwa kusema hayo nadhani hakuna shida yeye kutajwa kwasababu anafahamika. Labda kama protocol hairuhusu (which i cant argue)
 
Pamoja na maelezo yako hayo bado unatatizo la kimaisha huko ulikopitia umepata ukatili sana kama Mange Kimambi alivyo sasa na wewe hakuna tofauti.Maandishi yako toka siku ya kwanza ndani ya JF yanadhihirisha hayo.Na kwa taarifa yako familia ya mwl naijua vizuri sana na watoto wake wengi wamepata tocha sana kisaikolojia na ndiyo maana unamuona Pilot Andrea anaishi yale,Makongoro kama unavyomuona vile na wengine wengi tu kwasababu Mwl aliwaambia viongozi wa watoto wake toka shule kuwa watoto wake wasipate special attention kisa tu ni watoto wa rais.na ndipo viongozi wengi walikuwa wanaogopa hata kuwapa nafasi watoto wa mwl kisa wanaogopa wataulizwa na baba yao na wengi wameacha hata kazi zao kisa vyeo havipandi mishahara haipandi huku wakiona wenzao wa level moja au darasa moja wakipanda nafasi za juu.Na wewe ni wale wale tu mlioumizwa kisaikolojia sasa umebaki kupunguza hasira zako kwa kuwatukana na kuwabeza watu wengine na hiyo tunaita Ego Defense.(placing unacceptable impulses in yourself onto someone else )
 

Kuna Mtu yoyote yule labda amekuuliza kama unaijua Familia ya Mwalimu Nyerere au hapana? Pumbavu.
 
Anatajwa MUNGU sembuse Kipilimba? Tatizo mnahamisha posts za magoli ([emoji1624]). Kwamba badala ya kujiuliza maswali ya msingi kama yafuatayo, tujadili ATAJWE au ASITAJWE?

1. Kwanini kuna uvujaji mkubwa wa taarifa za kiusalama kwenda kwenye Idara za Usalama wa Taifa za takriban nchi zote zinazotuzinguka? Nimebuni neno "mtungo wa kijasusi" kwa jinsi kila Idara ya Usalama wa Taifa ya nchi jirani inavyoweza kunasa taarifa za Idara yetu kirahisi tu.

2. Kwanini takriban 80% ya workforce ya Idara yetu ya Usalama wa Taifa inaundwa na watu waliookotwa mtaani hivi karibuni, hawakwenda Malindi kufanya JBC, na wapo wapo tu kitengoni hawajui A wala B?

3. Kwanini tatizo la taarifa za uongo limetokea kuwa kubwa na linazidi kukua kiasi cha Sponsor kutegemea taarifa kutoka vyanzo visivyo vya kiusalama?

4. Katika historia ya TISS, haijawahi kutokea wakurugenzi wawili kwa mkupuo kuwa demoted, lakini hilo limetokea kwa ex-DDGIS na ex-DEO?

Maswali ni mengi lakini haya yanatosha kwa muda huu. Ndugu zangu Watanzania, ninyi ndio waajiri wa kila Afisa wa Idara ya Usalama wa Taifa. Ninyi ndio mnawalipa mishahara na OPs. Wanawajibika kwenu. Na msipowasimamia, mkawaacha waendelee na ubabaishaji mkubwa uliopo, mtakaoumia na kujilaumu ni nyie.

Nasubiri waje kutukana hapa, maana uwezo wa kintelijensia walionao umeishia kwenye kuweka matusi mitandaoni.
 
Pengine hoja yako iwe funzo kwa wateule wake,rais anahaki ya kumtaja huyo bwana sehemu yyte ila nje ya huyo ambaye kamteua yeye hana nafasi ya kumtaja mtumishi wa idara hiyo sehem nyingine yyte,pia nawashauri waliopo chini yake hawawez mtaja mtumishi wa idara hiyo kweny sehemu yyte ya hadhara na huyo mtu utajwa na rais pekee waliobakia hawaruhusiwi i mean waziri mkuu hawez mtaja,popote wala makamu hawez mtaja au mtambulisha popote! Ila awapo mkuu wa nchi huyo bwana anaweza tajwa, ila kwa kiongozi anae jua jukum la kazi la idara hii huwa sio vizuri kumtaja kwani pamoja na uwepo wake popote awapo rais yy huwa yupo kazini kwa kushirikiana na wale walinzi walio toka idara yake!
 

DUUH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…