Mheshimiwa Samia utakapoanza kudhuru kwa wakuu wa wilaya usimsahau Lucas magembe wa ukerewe

Mheshimiwa Samia utakapoanza kudhuru kwa wakuu wa wilaya usimsahau Lucas magembe wa ukerewe

omugabire

Senior Member
Joined
Jun 17, 2019
Posts
128
Reaction score
174
Mheshimiwa Rais utakapoanza kudhuru kwa wakuu wa wilaya usimsahau mkuu wa wilaya ya ukerewe Bw. Lucas magembe

Mkuu huyu wa wilaya tangu apangiwe majukumu yake katika wilaya ya ukerewe amekuwa ni mtu mwenye migogoro isiyo isha baina yake na wananchi na viongozi wa dini.

Tangu kuripoti kwake mwishoni mwa 2018;
1. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na kanisa katoliki hadi mapadri wakaandika waraka wa kutoshirikiana naye kwa jambo lolote.

2. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na wanchi wa kata ya Nkilizya

3. Ameingia kwenye mgogoro na wavuvi kwenye operesheni sangara.

4. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa ukara kipindi cha uchaguzi hadi kupelekea umwagaji damu.

5. Ameingia kwenye mgogoro na kanisa la waadventista wasabato.

6. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa kata ya kagunguli na maeneo mengine kwenye ukusanyi wa pesa za michango ya ujenzi wa madarasa hivi karibuni.

Katika mgogoro huu, mkuu wa wilaya anatisha wananchi na kutumia jeshi la polisi kukusanya michango ya ujenzi wa madarasa kinyume na utaratibu. Na wananchi wanaodai risti au kuhoji mwenendo huo wa ukusanyaji michango amekuwa akiwaweka rumande na kuwabambikia kosa la kugomesha zoezi ambapo kutoka ina walazimu kutoa kiasi cha shillingi laki moja ambayo pia haitolewi risti.

Mheshimiwa Rais katika kujiridhisha na hizi tuhuma nakushauri uunde timu yako toka ikulu ije kuzichunguza na hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya huyu DC maana matendo kauli na maamuzi yake ya kibabe ni vithibitisho tosha kwamba hafai kuwepo kwenye hiyo nafasi.
 
Tanzania hii,,, hawa viongozi bado wapo kweli?[emoji2960][emoji2958][emoji848][emoji848]
JOHN MONGELA,,,!! Yupo!!! Hata kabla ya Rais uyu pia anaweza[emoji848]
 
Nasikia hiki kimagembe, kinawanyanyasa sana wakerewe. Alikuwa Mwalimu Itumbili Magu huyu, aliwahi kufiwa na hawara wakiwa gest house. Kwa tabia zake sikutegemea angekuwa DC.
 
Tanzania hii,,, hawa viongozi bado wapo kweli?[emoji2960][emoji2958][emoji848][emoji848]
JOHN MONGELA,,,!! Yupo!!! Hata kabla ya Rais uyu pia anaweza[emoji848]
Jonh mongela ni Rc mwanza
 
Nasikia hiki kimagembe, kinawanyanyasa sana wakerewe. Alikuwa Mwalimu Itumbili Magu huyu, aliwahi kufiwa na hawara wakiwa gest house. Kwa tabia zake sikutegemea angekuwa DC.
Ni kutokujitambua na mihemko ndio inayomsumbua

Alikuwa anapata jeuri ya kufanya mafyongo kwa sababu alikuwa ana jinasibu kuwa magufuli ni ndugu yake kwamba hawezi kumtumbua. Sasahivi wa kumtetea ni nani? Kama magufuli hayupo. Aondoke Tu
 
Duh! Naona mwendo wa kuchongeana tu! Kazi kwako Mr. Magembe
 
Kila mtu sasa amekuwa mwalimu wa RAISI.................
Anajua na ana washauri wazuri tu.
 
Kuna takataka iko Mbeya inaitwa Chalamila, ifyekelee mbali
Hana tofauti na magembe kazi yao ni kuropoka hovyo na ubabe

Kama ni kuliwa vichwa waliwe tu hamna namna nyingine
 
Nadhani hawa ndo wanazungumziwa. Asiishie kwa Sabaya wa Hai tu!
Hawa watu ni tatizo la ubora mdogo wakati majukumu yao ni makubwa. Yaani sasa eti anayejenga shule ya sekondari moja anaonekana ni mkuu bora wa wilaya!
 
Nasikia hiki kimagembe, kinawanyanyasa sana wakerewe. Alikuwa Mwalimu Itumbili Magu huyu, aliwahi kufiwa na hawara wakiwa gest house. Kwa tabia zake sikutegemea angekuwa DC.
Kalimnyoga kama yule kijana wa miaka 21 au kitu gani?
 
Mheshimiwa Rais utakapoanza kudhuru kwa wakuu wa wilaya usimsahau mkuu wa wilaya ya ukerewe Bw. Lucas magembe

Mkuu huyu wa wilaya tangu apangiwe majukumu yake katika wilaya ya ukerewe amekuwa ni mtu mwenye migogoro isiyo isha baina yake na wananchi na viongozi wa dini.

Tangu kuripoti kwake mwishoni mwa 2018;
1. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na kanisa katoliki hadi mapadri wakaandika waraka wa kutoshirikiana naye kwa jambo lolote.

2. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na wanchi wa kata ya Nkilizya

3. Ameingia kwenye mgogoro na wavuvi kwenye operesheni sangara.

4. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa ukara kipindi cha uchaguzi hadi kupelekea umwagaji damu.

5. Ameingia kwenye mgogoro na kanisa la waadventista wasabato.

6. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa kata ya kagunguli na maeneo mengine kwenye ukusanyi wa pesa za michango ya ujenzi wa madarasa hivi karibuni.

Katika mgogoro huu, mkuu wa wilaya anatisha wananchi na kutumia jeshi la polisi kukusanya michango ya ujenzi wa madarasa kinyume na utaratibu. Na wananchi wanaodai risti au kuhoji mwenendo huo wa ukusanyaji michango amekuwa akiwaweka rumande na kuwabambikia kosa la kugomesha zoezi ambapo kutoka ina walazimu kutoa kiasi cha shillingi laki moja ambayo pia haitolewi risti.

Mheshimiwa Rais katika kujiridhisha na hizi tuhuma nakushauri uunde timu yako toka ikulu ije kuzichunguza na hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya huyu DC maana matendo kauli na maamuzi yake ya kibabe ni vithibitisho tosha kwamba hafai kuwepo kwenye hiyo nafasi.
Aisee hatari sana.
 
Mheshimiwa Rais utakapoanza kudhuru kwa wakuu wa wilaya usimsahau mkuu wa wilaya ya ukerewe Bw. Lucas magembe

Mkuu huyu wa wilaya tangu apangiwe majukumu yake katika wilaya ya ukerewe amekuwa ni mtu mwenye migogoro isiyo isha baina yake na wananchi na viongozi wa dini.

Tangu kuripoti kwake mwishoni mwa 2018;
1. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na kanisa katoliki hadi mapadri wakaandika waraka wa kutoshirikiana naye kwa jambo lolote.

2. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na wanchi wa kata ya Nkilizya

3. Ameingia kwenye mgogoro na wavuvi kwenye operesheni sangara.

4. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa ukara kipindi cha uchaguzi hadi kupelekea umwagaji damu.

5. Ameingia kwenye mgogoro na kanisa la waadventista wasabato.

6. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa kata ya kagunguli na maeneo mengine kwenye ukusanyi wa pesa za michango ya ujenzi wa madarasa hivi karibuni.

Katika mgogoro huu, mkuu wa wilaya anatisha wananchi na kutumia jeshi la polisi kukusanya michango ya ujenzi wa madarasa kinyume na utaratibu. Na wananchi wanaodai risti au kuhoji mwenendo huo wa ukusanyaji michango amekuwa akiwaweka rumande na kuwabambikia kosa la kugomesha zoezi ambapo kutoka ina walazimu kutoa kiasi cha shillingi laki moja ambayo pia haitolewi risti.

Mheshimiwa Rais katika kujiridhisha na hizi tuhuma nakushauri uunde timu yako toka ikulu ije kuzichunguza na hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya huyu DC maana matendo kauli na maamuzi yake ya kibabe ni vithibitisho tosha kwamba hafai kuwepo kwenye hiyo nafasi.
Tatizo la ubora wa wakuu wa Wilaya lilianzia kwa Kikwete. Hapo ndo nafasi hii iligeuzwa na kuwa kama nafasi ya mafunzo ya kisiasa kwa vijana marafiki wanaoweza kuwatafutia wasichana. Yes, wasichana mitaani. Ukiangalia nguvu ya mkuu wa wilaya kwa mwananchi wa kawaida, ni aibu sana kuwa na wakuu wa wilaya wanaowaza kucheza disco. Ndo maana kule kahama, Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wake walipigania mdada.

Ukiangalia huyu anayezungumziwa, nahisi pia umri wake bado. Alikuwa mwalimu wa sekondari ghafla unampa ukuu wa wilaya na madaraka hayo ya kumuweka mtu ndani kwa masaa 48! Huyo Sabaya sijui alikuwa nani, ghafla pa ni mkuu wa wilaya. Ni tatizo!
 
Mheshimiwa Rais utakapoanza kudhuru kwa wakuu wa wilaya usimsahau mkuu wa wilaya ya ukerewe Bw. Lucas magembe

Mkuu huyu wa wilaya tangu apangiwe majukumu yake katika wilaya ya ukerewe amekuwa ni mtu mwenye migogoro isiyo isha baina yake na wananchi na viongozi wa dini.

Tangu kuripoti kwake mwishoni mwa 2018;
1. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na kanisa katoliki hadi mapadri wakaandika waraka wa kutoshirikiana naye kwa jambo lolote.

2. Ameingia kwenye mgogoro wa ardhi na wanchi wa kata ya Nkilizya

3. Ameingia kwenye mgogoro na wavuvi kwenye operesheni sangara.

4. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa ukara kipindi cha uchaguzi hadi kupelekea umwagaji damu.

5. Ameingia kwenye mgogoro na kanisa la waadventista wasabato.

6. Ameingia kwenye mgogoro na wananchi wa kata ya kagunguli na maeneo mengine kwenye ukusanyi wa pesa za michango ya ujenzi wa madarasa hivi karibuni.

Katika mgogoro huu, mkuu wa wilaya anatisha wananchi na kutumia jeshi la polisi kukusanya michango ya ujenzi wa madarasa kinyume na utaratibu. Na wananchi wanaodai risti au kuhoji mwenendo huo wa ukusanyaji michango amekuwa akiwaweka rumande na kuwabambikia kosa la kugomesha zoezi ambapo kutoka ina walazimu kutoa kiasi cha shillingi laki moja ambayo pia haitolewi risti.

Mheshimiwa Rais katika kujiridhisha na hizi tuhuma nakushauri uunde timu yako toka ikulu ije kuzichunguza na hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya huyu DC maana matendo kauli na maamuzi yake ya kibabe ni vithibitisho tosha kwamba hafai kuwepo kwenyetayar hiyo nafasi.
Kazi ya ole sabaya tayari. Subiri Maza anakuja huko
 
Tatizo la ubora wa wakuu wa Wilaya lilianzia kwa Kikwete. Hapo ndo nafasi hii iligeuzwa na kuwa kama nafasi ya mafunzo ya kisiasa kwa vijana marafiki wanaoweza kuwatafutia wasichana. Yes, wasichana mitaani. Ukiangalia nguvu ya mkuu wa wilaya kwa mwananchi wa kawaida, ni aibu sana kuwa na wakuu wa wilaya wanaowaza kucheza disco. Ndo maana kule kahama, Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wake walipigania mdada.

Ukiangalia huyu anayezungumziwa, nahisi pia umri wake bado. Alikuwa mwalimu wa sekondari ghafla unampa ukuu wa wilaya na madaraka hayo ya kumuweka mtu ndani kwa masaa 48! Huyo Sabaya sijui alikuwa nani, ghafla pa ni mkuu wa wilaya. Ni tatizo!
Mama kisha ahidi nafasi hizo ni za vijana. tatizo ni vijana wa CCM. Kama ingekuwa ni ushauri wangu angetafuta vijana ambao wameshahudumu kwenye nafasi za ukatibu tarafa. angalau wameshajionea taratibu za kiutawala. Hawa vijana wanaopewa kwa maagizo ya walio juu, eti wajifunze uongozi, wengi ni hovyo na wezi wakubwa.
 
Back
Top Bottom