ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Ukiwa waziri mwenye dhamana ya kulinda mila na utamaduni wetu tafadhali tuhuishie sheria ya tresspassing.
Hii itapunguza kero kadhaa Kama wapiga bodi na wadokozi,hata wachafuzi wa mazingira wale wanaojikaribisha kwenye vibaraza vya watu wengine.
Kumbuka kuna ongezeko kubwa la watu mijini siku za karibuni..watu tunalizwa sana viatu na vitu vingine vidogovidogo?Lakini pia tutazidi "kunyooka "kimaadili kama mheshimiwa wetu anavyotaka.
Asante.
Hii itapunguza kero kadhaa Kama wapiga bodi na wadokozi,hata wachafuzi wa mazingira wale wanaojikaribisha kwenye vibaraza vya watu wengine.
Kumbuka kuna ongezeko kubwa la watu mijini siku za karibuni..watu tunalizwa sana viatu na vitu vingine vidogovidogo?Lakini pia tutazidi "kunyooka "kimaadili kama mheshimiwa wetu anavyotaka.
Asante.