Nikhil
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 361
- 120
Wakuu nafkiru mko good.
Wana jf nimetupua thred hii kutokana na influence ya shukrani nyingi kitaa wake waliopoteza matumaini ya advance wanamshukuru sana waziri na tume yake kwa kufichua maasi ya kuongeza madaraja ya ufaulu.
Wewe kama mdau unapenda kumueleza nini pinda pamoja na tume yake?
Wana jf nimetupua thred hii kutokana na influence ya shukrani nyingi kitaa wake waliopoteza matumaini ya advance wanamshukuru sana waziri na tume yake kwa kufichua maasi ya kuongeza madaraja ya ufaulu.
Wewe kama mdau unapenda kumueleza nini pinda pamoja na tume yake?