- Thread starter
- #21
Yepi mkuuMpaka umri huu nimeona mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yepi mkuuMpaka umri huu nimeona mengi sana
Kuna magonjwa piasasa kama mwanamke anampa mbwiga mmoja kwa ahadi za kumuoa tu
anamnyima vip mtu anayempa ahadi ya kazi
wabongo ni watu wa hovyo sana
Kuna magonjwa pia
Kaz kwelikweliWanawake wanapitia changamoto kubwa sana hasa rushwa ya ngono kwenye konekinsh ya kaz,hasa kipind iki ajira ni ngumu na life ni gumu.na wengine wanatoa na ajira awapati.
Nani akukule ww na sura yako personal.Nashukuru Mungu kote nilikopita hadi nimefika hapa sijawahi kutana na kitu ya namna hiyo.
Ila hayo mambo yapo, wanaume wengine wamejawa tamaa + kukosa utu
Kwa kweli DepalWenye sura zetu personal zinatusaidia sometime😂😂