Wanawake wanapitia changamoto kubwa sana hasa rushwa ya ngono kwenye konekinsh ya kazi, hasa kipindi hiki ajira ni ngumu na life ni gumu.na wengine wanatoa na ajira awapati.
Wanawake wanapitia changamoto kubwa sana hasa rushwa ya ngono kwenye konekinsh ya kaz,hasa kipind iki ajira ni ngumu na life ni gumu.na wengine wanatoa na ajira awapati.