Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
hata ulaya na kule marekani inatambuliwa hivyo kuwa mtu mweusi ni mwizi mimi binafsi yamenikuta ujarumani nikiwa nanunuwa vijiguo kwa ajili ya zawadi nikiwa narudi kwetu tanzania na hilo tusiwalaumu hao watu kwani ni makosa yetu sisi wenyewe
hata ulaya na kule marekani inatambuliwa hivyo kuwa mtu mweusi ni mwizi mimi binafsi yamenikuta ujarumani nikiwa nanunuwa vijiguo kwa ajili ya zawadi nikiwa narudi kwetu tanzania na hilo tusiwalaumu hao watu kwani ni makosa yetu sisi wenyewe
Ina maana ni makosa yetu sisi wenyewe kwasababu ni Watu weusi...?
swafiiiiiiiiiiii swafi sanaaaaa....hii miponjoro inakera mnoo!
...Hawa ni raia wenzetu na tusiwaangalia kwa jicho tofauti na tunalowaangalia raia wengine, kila mtu ana mapungufu yake.
Majira January 18, 2008:
Urgently Required: Sales person male/female for a pharmacy at Shoppers Plaza. Should be: Form 1V/V educated. Fluent in English. Tanzanian of Asian Origin. Please contact 0754-673586.
Wahindi ni wabaguzi. Mi nadhani mapungufu yao yamezidi!
(Aliye tunza ile picha ya hili tangazo mlangoni kwa Pharmacy ya Mhindi Shopper's Plaza tafadhali naomba abandike au anitumie.)
hata ulaya na kule marekani inatambuliwa hivyo kuwa mtu mweusi ni mwizi mimi binafsi yamenikuta ujarumani nikiwa nanunuwa vijiguo kwa ajili ya zawadi nikiwa narudi kwetu tanzania na hilo tusiwalaumu hao watu kwani ni makosa yetu sisi wenyewe
Not all Bantus are thieves but most thieves are Bantus. That is a fact! Put yourself in an Indian shop owner shoes, you probably would act the same way. If you say you wouldn't then you are a liar. The solution is not punching the Indian business owner, just don't shop in his shop. Violence solves nothing.