"Mhindi huyu anawamaliza wanetu"

"Mhindi huyu anawamaliza wanetu"

Hivi kuna anayejidanganya kwamba hii ni breaking news kwa polisi? Iweje wewe mpita njia tu tena uliyeko safarini ugundue kitu kama hiki wakati kuna mijitu inaishi hapo na inalipwa mishahara ili ijue mambo kama haya na isijue siku zote?

I guess everybody is just "not in the mood" to do their work!
Kuna vioja vingi sana bongo!
 
Kumpigia RPC na kumweleza kiwango cha tatizo na namna ambavyo tatizo limeshafahamika kwa wengi ni muhimu
Namba ya RPC Kilimanjaro ni hii hapa +255 754 461187
MTWANGIENI
 
Hawa watu wa madawa ya kulevya ni hatari sana, tena kama wameshafika kuwauzia watoto basi ndio hivo tena kizazi cha taifa la kesho ndio kinamalizwa...!

Hawa wauzaji wanastahili wanyongwe kabisa...!
 
Hii ni kweli na wala haina chenga.
Nilikuwa moshi jana tu na kuthibitisha.Kuna grocery moja maarufu maeneo ya shanty town karibu na hospitali ya KCMC ijulikanayo kama 'UP TOWN GROCERY'.

Ilianza kama tetesi kuwa grocery hiyo ni kituo cha madawa ya kulevya.Kisha nikamtafuta mwenyeji wa pale na mtu mzima na mnywaji wa hapo nikamuuliza akaniambia ni kweli tena akanitajia hadi wateja wakubwa wa madawa hayo kuwa ni wanafunzi wa INTERNATIONAL SCHOOL MOSHI,moja ya shule bora kabisa za kimataifa.

Nikamvizia mwanafunzi mmoja wa shule hiyo na kumbana kona nikijifanya teja nataka unga nibwie.Kiulaini akanielekeza kuwa yeye siyo muuzaji bali mtumiaji ila kama nataka kununua niende kwenye ile grocery kwa wahindi nitapata mara moja.

Hii siyo hadithi ni kweli.Nimeitoa kwenye jukwaa kusudi tuungane kummaliza huyu jamaa na wengine wote wanaofanana nae.
Nilikuwa moshi kwa muda mfupi tu na sikupata nafasi ya kushughulikia hili na ningali safarini kikazi.
Naombeni namba ya Lucas Ngoboko (kamanda kilimanjaro) au IGP Mwema.
Huyo mhindi hafai hata kidogo!
What sad news?
 
Simple D thanks alot.
No ya IGP uliyonipa niliitumia.There was an instant reaction to the matter.Tusubiri matokeo kuhusu yule gabachori
 
ni bahati mbaya kuwa huyu ni mhindi. Na kwa sababu ya uhindi wake kabila lake lote limetukanika. Laiti kama huyu angekuwa mchaga sijui kama kabila lote la wachaga lingetukanwa. STOP BEING PETTY MINDED.
 
ni bahati mbaya kuwa huyu ni mhindi. Na kwa sababu ya uhindi wake kabila lake lote limetukanika. Laiti kama huyu angekuwa mchaga sijui kama kabila lote la wachaga lingetukanwa. STOP BEING PETTY MINDED.

Ni kweli haifai ku categorize...Nadhani unajuwa yaliyowakumba wachagga.
Sumar ndugu yangu ngoja nikwambie kitu.
Kweli kama wahindi wasipobadilika..Basi wataleta mushkeli.
Ni kweli inabidi muhakikishe kuwa mafanikio yenu mnayoyapata kwenye ardhi ya mwafrika inamnufaisha mwafrika.
 
Back
Top Bottom