DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hii michezo kama kaizoea, anavuruga kila upande, sa we mtu mmoja unapotelewa na mali kila siku wewe tu, daah, Waziri alione suala letu, na bado tunamtafuta
 
Huu ni msaada muhimu umempa. Kazi kwake sasa muhusika.
 
Yes, sahihi mkuu, hiyo nayo pia inawezekana kabisa, washenzi kama hawa huwa wana kamtamdao kapana. Hawachelewi kuweka watu wa serikalini mifukoni 🤣

Umemshauri vema, aanzie hapo
 
Poleni sana, bila kupepesa nendeni kwa Jerry Slaa atamaliza hili jambo ndani ya mwezi mmoja. Kama namba yake huna, nifuate nitakupa.

Ova
 

Tapeli achukuliwe hatua, tena aswekwe ndani kabisa, ila mhindi mmoja anaesadikika ni tapeli isiwe ndio sababu ya wengine/civilians kutomiliki maeneo, acha ubaguzi, ardhi ni ya Mwenyezi Mungu na sio ya john wala Abdallah pekee.

Naahene nkoi
 
Kesi za aridhi hapa bongo raia wa chini huwa wananyanyasika sana, tena kama ukikuta mtuhumiwa(dhulumati) ni mgeni au hata kama ni mtanzania ila mwenye asili ya kigeni aisee wewe mswahili ohe ahee ni ngumu sana kutoboa hususani kwa serikali hii tuliyonayo sasa.
 
Aisee. Sasa nchi yenye watu karibia milioni 70 na ukiwa na tatizo yupo mtu mmoja tu wa kumtegemea kuweza kutatua, si kichekesho cha karne hiki? Tutafika kweli? Halafu wananchi hawa hawa ukiwaambia wapigane ili mfumo wa uongozi ubadilike wanasema wao siyo wanasiasa!
 
Wacha wanyanyasike kabisa. Wamezidi ukondoo! Nchi inakuwa na raia waoga utadhani ni kunguru!
 
Hii kesi nendeni kwa Jerry Sla muda huu kabla giza halijazama, kesho asubuhi mapema Jerry Sla atakuwa kigamboni anatatua hii kero na huyo mhindi atasanda na atarejesha kila stahiki zenu.

Mhindi anauzaje viwanja kwanza tuanzie hapo, kwan kuna watanzania wanauza viwanja India? [emoji848]
 
Kwahyo tunakubaliana Magufuli alikuwa mtetezi wa wanyonge na sasa tunakiri kuwa mashetani yameanza tena kusumbua raia huku mama yenu akiyatetea bila kuyafanya chochote.
 
Wacha wanyanyasike kabisa. Wamezidi ukondoo! Nchi inakuwa na raia waoga utadhani ni kunguru!
Kaka inasikitisha na inatia hasira sana, watanzania wengi wanadhulumiwa aridhi na hao wadhulumati wanashirikiana na watumishi wa serikali waliopewa dhamani kwenye kada husika... hata ukisema upambane nao kama haulingani nao kiuchumi unakuwa unafanya kazi bure, sana sana utaichelewesha tu hiyo dhuluma, mimi mwenyewe mzee wangu ni muhanga... kuna eneo letu tumeanza kufuatilia hati tangu 2017, tumepigwa dana dana weeee, imefika 2021 mara tukashangaa anapewa mtu mwingine kabisa akaanza na ujenzi ndani ya wiki hiyo hiyo tangu akabidhiwe... tukakomaa mpaka kwa mkuu wa mkoa akatoa stop order, mpaka hivi sasa ninavyoandika lile eneo bado liko vile vile na muafaka bado haujapatikana mpaka mzee wangu anaelekea kukata tamaa... japo wanae tunamtia moyo na kumsaidia kadri tuwezavyo.

Kaka kuna unyanyasaji mkubwa sana unaofanyika kwenye aridhi nchi hii.. acha tu
 
Poleni sana.
Inauma sana Mhindi gabacholi anatoma India anakuja kusumbua wananchi Tanzania. Ingekuwa huko kwao wangeshamlamba risasi.
Watanzania ni waoga sana. Inabidi kufanya maamuzi magumu wakati mwingine kama Hamza.
Haya mambo yanachosha sana
Hii kesi Jerry Sla ataimaliza fasta sana. Ngoja ifike mezani kwake mtaona ITV na kwa Millard Ayo.
 
Tapeli achukuliwe hatua, tena aswekwe ndani kabisa, ila mhindi mmoja anaesadikika ni tapeli isiwe ndio sababu ya wengine/civilians kutomiliki maeneo, acha ubaguzi, ardhi ni ya Mwenyezi Mungu na sio ya john wala Abdallah pekee.

Naahene nkoi
Noted mkuu, nitazingatia ushauri wako mkuu wangu.
Wabeja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…