DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwanza niwape pole, uyu mwamba hana cha kupoteza ni tapeli na janja janja sana.
Ana case za kutolipa wafanyakazi na utapeli mahakamani zaidi mia na wala hajali cases uyu jamaaaa.
Ana madeni Mungu hapendi.
Akipewa tender hajawai malizaga mradi usika anachukua advances alafu anapotea sites mradi anapokonywa, alikuwa na mradi wa kusambaza mafuta Stigglers goerge, kazingua zingua akapokonywa mradi.
Alikuwa na mradi Dodoma kazingua zingua kapokonywa mradi.
Ana madeni ya kodi TRA mungu hapendi.
Kipindi cha Magu alikimbilia kwao India, sema hawana cha kupoteza hawa jamaaa wanatapeli tapeli uku ila wanawekeza kwao India na baaada ya muda ana mpango wa kurudi kwao india uyu, apa anachota pesa tu.
Anajua kujiposition ni balozi wa eshima wa sychells apa Tanzania.
uyu jamaaa ni tapeli na janja janja sana, niliwahi kuwa karibu nae kikazi na namdai pesa nyingi mpaka sasa hajalipa.
Kwanza ayo malori ya multimodal ameshanyang"anywa na Mo maaana alikopeshwa alipe taratibu kashindwa kulipa Mo kachukua malori yote aliyomkopesha na Yard ya pale Tabata.
Kiufupi jamaaa kwa sasa kafilisika na anaishi kwa njia ya utapeli tapeli tu.
Asante kwa taarifa, kumbe ni mchafu zaidi ya tunavyo mfahamu
 
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni.

Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua
viwanja hivyo kwa nyakati tofauti tofauti bila kujuana., ni zaii ya 300m tunataka kutapeliwa, maana viwaja maeneo yale bei ipo juu.

Kwa kifupi tulinunua viwanja hivyo katika kampuni nne tofauti zinazomilikiwa na mhindi mmoja anayejulikana kama SYED ABBAS RIZIV jina maarufu anaitwa ABBAS

Majina ya kampuni zake anazozitumia katika utapeli ni
1) Interflow commercial (T) Limited
2) Rubab Investment
3) Jasman East Africa limited
4) Multimodal transport Africa lImited

Kipindi tunanunua tulifuata taratibu zote za manunuzi, kwa sababu viwanja hivyo vilikuwa na hati, tulienda kufanya search manispaa , na kupita kila sehemu palipohitajika, hadi tukafikia kupata approval ya manispaa katika harakati za kufanya transfer, yani viwanja tumepewa na hati original kabisa na tulizikagua na kuna baadhi walizibeba hadi wizarani zikakaguliwe na zilitambulika ni halali

Katika kipindi cha ununuzi kuna baadhi yetu tulifika katika ofisi za kampuni husika kwa kuelekezwa na madalali, na ili ufike hapo ofisini lazima kuwepo appointment, bila hivyo huingii.

Wakiwa na appointment na wewe, unakuta ofisi kabisa na bango la kampuni, mnazungumza biashara, ila ikifika mahali kwenye malipo, basi mhusika bwana Abbas anasema kampuni tunaifunga kwa hiyo anakupa account nyingine tofauti na ya kampuni ili ufanye malipo, ili kujiweka safe side baadhi yetu walitaka Abbas mmiliki wa kampuni hizo ku-sign, kwamba anaruhusu malipo yafanyike katika accout tofauti za kampuni

Kwa utaratibu huo tumejikuta wengi tukinunua na wengine kununua kupitia kwa mwakilishi wake anayefahamika kama Juma Nkumbi

Mgogoro unaanza baada ya huyo Abbas kukamilisha mauzo ya viwanja vyote. Jamaa anaruka futi 100 kwamba hajauza kiwanja chochote ili hali, kwenye mauziano baadhi alikuwepo mwenyewe na mauziano mengie alikuwa akisimamia muwakilishi wake

Jamaa ili kutuvuruga akaenda kuwekea caveat viwanja vyote, akizuia transfer zote na hapo akafungua kesi kimya kimya bila kutujulisha ili asikilizwe upande mmoja.

Kipindi anaweka mazuio kila mhanga alikuwa anahangaika kivyake ndipo tukaanza kujuana ni kundi kubwa la watu analichezea mchezo na ndipo tukagundua kwamba kuna kesi zishafunguliwa ya kila mmoja

Baada ya kukuta tumefunguliwa kesi kila mmoja wetu hapo ndipo tuka-organize iwe kesi moja, na jamaa alipoona kesi inamshinda, akaanza visa vya kuchelewesha kesi kuanza kusikilizwa, kila siku anakuja na jipya maji yalipo fika shingoni, kesi yenyewe akaifuta kabisa ila caveat/zuio la kuendelea na transfer hakulitoa.

Kutokana na kuifuta kesi hiyo, ikabidi sasa tumshitaki yeye, why anaweka mazuio ili hali na kesi kashafuta. Baada yakuona tumemfungulia kesi amekuja na sababu tele mahakamani akizuia kesi tuliyomfungulia isisikilzwe, yani anavuta vuta muda, na haoneshi nia ya kumaliza kesi na sisi tum- stack zaidi ya mwaka na miezi kadhaa

Visa nje ya mahakama, anaweka walinzi wengi kwenye maeneo yetu, na hata walioanza ujenzi materials zimeanza kuoza, ni hasara kubwa. Anatusumbua na kututesa watu wengi bila mashiko.

Tumeandika barua nyingi kwa vyombo husika wachunguze hizi kampuni zake maaana zimekaa kimichongo, hazilipi kodi, yani kampuni zote zinatumia ofsi moja, na bango la ofisi linabadilika kulingana na mteja wa siku hiyo, na ofsi inafunguliwa kwa appointment maalum

...............
Katika kufuatilia tumegundua jamaa ana kesi nyingi zinazofanana na hizo, na pia ameshatangaza hati zake zimepotea katika magazeti ya serikali, ili hali sio kweli hati tunazo sisi
.....
Ombi langu pamoja na wenzangu , tuanomba jambo hili mliangazie ikiwemo wawakilishi wa vyombo husika vya ardhi, takukuru, TRA na hususani mheshimiwa waziri ambae tumeshafanya jitihada za kumtafuta bila mafanikio , ili aliangazie suala hili kwani sio suala la mtu mmoja, linagusa zaidi ya watu kumi , hivyo kuwa kero kubwa kwa sisi kama wananchi

makampuni haya manne yachunguzwe vizuri , inaonekana yameanzishwa kutapeli na kusumbua wananchi

Majina ya kampuni ni
1) Interflow Commercial (T) Limited
2) Rubab Investment
3) Jasman East Africa limited
4) Multimodal transport Africa lImited

Mtu huyu anaetusumbua ni mhindi anaejulikana kwa jina la ABBAS na hata mawasiliano yake ni 0778 999 999 na msaidizi wake ni 0754 022 897

Hawa watu hawana nia njema na sisi wanatupiga chenga kila siku jambo lisiishe, na wengi hatujui hatima yetu maana viwanja tumenunua ili kujistiri na familia zetu , ila mwaka sasa umeisha jamaa wanatukimbia kimbia mahamani
.....
Natanguliza shukrani, naomba wahusika walifuatilie hili maana ishakua kero ya wananchi

Natanguliza shukrani, Asanteni sana, naombeni ushirikiano wenu
MKUU WA WILAYA ANAMFAHAMU HUYO MUHINDI? WAZIRI SILAA MMEMJULISHA HUU WARAKA ULIOUANDIKA MWANDIKIE WAZIRI WA ARDHI ATAKUJA FASTA
 
MKUU WA WILAYA ANAMFAHAMU HUYO MUHINDI? WAZIRI SILAA MMEMJULISHA HUU WARAKA ULIOUANDIKA MWANDIKIE WAZIRI WA ARDHI ATAKUJA FASTA
Tusha peleka ma file, mezani. Tumeelezwa tutapigiwa simu ila bado kimnya. ndo tunapanbania kumpatq direct . Tunaomba mwenye experince na huyu tapeli, afunguke tumjue vizuri adui
 
Dhuluma ni kitu kibaya sana,na ni machukizo kwa Mungu,lakini ndiyo kwanza watu eti hawaogopi kabisa kufanya Dhuluma, sijui ni laana au ni tamaa zao tu!!
Kaka kuna watu dhuluma kwao ni sehemu ya ibada, yaani mtu akipata madaraka halafu akashindwa kujitajirisha kupitia madaraka hayo kwa kudhulumu watu anaona kama haitendei haki nafsi yake.... na mbaya zaidi watu hao ukiwakuta nje ya ofisi zao wanajifanya ni watu wema sana wanaomjua Mungu.

Mfano kama kwenye hili sakata la kiwanja cha mzee wangu, mmoja wa maafisa wa aridhi aliyeshiriki kikamilifu katika dhuluma hiyo ni mama mmoja hivi ambaye tuna sali nae na kila jumapili huwa yuko kanisani na kukomnika anakomnika kabisa.

Huyo huyo mama pia akishirikiana na maafisa wenzake walidhulumu kiwanja cha bibi mmoja hivi na kisha wakawauzia waarabu fulani hivi wakaweka yard ya magari, halafu yule bibi wakampa kiwanja kingine porini kabisa ambacho hakina hata thamani ya 2m wakati kile walichowauzia waarabu kilikuwa na thamani ya 300m.... kuna watu ni wakatili sana hapa duniani halafu hata hawajali kabisa
 
Kwanza niwape pole, uyu mwamba hana cha kupoteza ni tapeli na janja janja sana.
Ana case za kutolipa wafanyakazi na utapeli mahakamani zaidi mia na wala hajali cases uyu jamaaaa.
Ana madeni Mungu hapendi.
Akipewa tender hajawai malizaga mradi usika anachukua advances alafu anapotea sites mradi anapokonywa, alikuwa na mradi wa kusambaza mafuta Stigglers goerge, kazingua zingua akapokonywa mradi.
Alikuwa na mradi Dodoma kazingua zingua kapokonywa mradi.
Ana madeni ya kodi TRA mungu hapendi.
Kipindi cha Magu alikimbilia kwao India, sema hawana cha kupoteza hawa jamaaa wanatapeli tapeli uku ila wanawekeza kwao India na baaada ya muda ana mpango wa kurudi kwao india uyu, apa anachota pesa tu.
Anajua kujiposition ni balozi wa eshima wa sychells apa Tanzania.
uyu jamaaa ni tapeli na janja janja sana, niliwahi kuwa karibu nae kikazi na namdai pesa nyingi mpaka sasa hajalipa.
Kwanza ayo malori ya multimodal ameshanyang"anywa na Mo maaana alikopeshwa alipe taratibu kashindwa kulipa Mo kachukua malori yote aliyomkopesha na Yard ya pale Tabata.
Kiufupi jamaaa kwa sasa kafilisika na anaishi kwa njia ya utapeli tapeli tu.
Kwamba anafanya haya yote, halafu na bado yupo tu anatembea mitaani??

Kweli hii nchi utulivu na upole wa kipuuzi umezidi.
 
Kwamba anafanya haya yote, halafu na bado yupo tu anatembea mitaani??

Kweli hii nchi utulivu na upole wa kipuuzi umezidi.
huyu ni adui wa taifa kabisa, hadi serikali anaitendea mabaya. kwa kiburi cha kushirikina na watumishi wasio wazendo
 
huyu ni adui wa taifa kabisa, hadi serikali anaitendea mabaya. kwa kiburi cha kushirikina na watumishi wasio wazendo
Ni masikitiko sana kaka, nchi hii wezi wapenda dhuluma pamoja na wala rushwa ndio watu wenye nguvu kwenye nyanja mbali mbali
 
WAKATI WA MAGUFULI ALIKIMBIA NCHI AKAENDA KWAO INDIA...Nabii JIWE aliletwa na Mungu kuwasaidia watanzania kudeal na washenzi kama huyo tapeli. RIP JIWE.
 
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni.

Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua
viwanja hivyo kwa nyakati tofauti tofauti bila kujuana., ni zaii ya 300m tunataka kutapeliwa, maana viwaja maeneo yale bei ipo juu.

Kwa kifupi tulinunua viwanja hivyo katika kampuni nne tofauti zinazomilikiwa na mhindi mmoja anayejulikana kama SYED ABBAS RIZIV jina maarufu anaitwa ABBAS

Majina ya kampuni zake anazozitumia katika utapeli ni
1) Interflow commercial (T) Limited
2) Rubab Investment
3) Jasman East Africa limited
4) Multimodal transport Africa lImited

Kipindi tunanunua tulifuata taratibu zote za manunuzi, kwa sababu viwanja hivyo vilikuwa na hati, tulienda kufanya search manispaa , na kupita kila sehemu palipohitajika, hadi tukafikia kupata approval ya manispaa katika harakati za kufanya transfer, yani viwanja tumepewa na hati original kabisa na tulizikagua na kuna baadhi walizibeba hadi wizarani zikakaguliwe na zilitambulika ni halali

Katika kipindi cha ununuzi kuna baadhi yetu tulifika katika ofisi za kampuni husika kwa kuelekezwa na madalali, na ili ufike hapo ofisini lazima kuwepo appointment, bila hivyo huingii.

Wakiwa na appointment na wewe, unakuta ofisi kabisa na bango la kampuni, mnazungumza biashara, ila ikifika mahali kwenye malipo, basi mhusika bwana Abbas anasema kampuni tunaifunga kwa hiyo anakupa account nyingine tofauti na ya kampuni ili ufanye malipo, ili kujiweka safe side baadhi yetu walitaka Abbas mmiliki wa kampuni hizo ku-sign, kwamba anaruhusu malipo yafanyike katika accout tofauti za kampuni

Kwa utaratibu huo tumejikuta wengi tukinunua na wengine kununua kupitia kwa mwakilishi wake anayefahamika kama Juma Nkumbi

Mgogoro unaanza baada ya huyo Abbas kukamilisha mauzo ya viwanja vyote. Jamaa anaruka futi 100 kwamba hajauza kiwanja chochote ili hali, kwenye mauziano baadhi alikuwepo mwenyewe na mauziano mengie alikuwa akisimamia muwakilishi wake

Jamaa ili kutuvuruga akaenda kuwekea caveat viwanja vyote, akizuia transfer zote na hapo akafungua kesi kimya kimya bila kutujulisha ili asikilizwe upande mmoja.

Kipindi anaweka mazuio kila mhanga alikuwa anahangaika kivyake ndipo tukaanza kujuana ni kundi kubwa la watu analichezea mchezo na ndipo tukagundua kwamba kuna kesi zishafunguliwa ya kila mmoja

Baada ya kukuta tumefunguliwa kesi kila mmoja wetu hapo ndipo tuka-organize iwe kesi moja, na jamaa alipoona kesi inamshinda, akaanza visa vya kuchelewesha kesi kuanza kusikilizwa, kila siku anakuja na jipya maji yalipo fika shingoni, kesi yenyewe akaifuta kabisa ila caveat/zuio la kuendelea na transfer hakulitoa.

Kutokana na kuifuta kesi hiyo, ikabidi sasa tumshitaki yeye, why anaweka mazuio ili hali na kesi kashafuta. Baada yakuona tumemfungulia kesi amekuja na sababu tele mahakamani akizuia kesi tuliyomfungulia isisikilzwe, yani anavuta vuta muda, na haoneshi nia ya kumaliza kesi na sisi tum- stack zaidi ya mwaka na miezi kadhaa

Visa nje ya mahakama, anaweka walinzi wengi kwenye maeneo yetu, na hata walioanza ujenzi materials zimeanza kuoza, ni hasara kubwa. Anatusumbua na kututesa watu wengi bila mashiko.

Tumeandika barua nyingi kwa vyombo husika wachunguze hizi kampuni zake maaana zimekaa kimichongo, hazilipi kodi, yani kampuni zote zinatumia ofsi moja, na bango la ofisi linabadilika kulingana na mteja wa siku hiyo, na ofsi inafunguliwa kwa appointment maalum

...............
Katika kufuatilia tumegundua jamaa ana kesi nyingi zinazofanana na hizo, na pia ameshatangaza hati zake zimepotea katika magazeti ya serikali, ili hali sio kweli hati tunazo sisi
.....
Ombi langu pamoja na wenzangu , tuanomba jambo hili mliangazie ikiwemo wawakilishi wa vyombo husika vya ardhi, takukuru, TRA na hususani mheshimiwa waziri ambae tumeshafanya jitihada za kumtafuta bila mafanikio , ili aliangazie suala hili kwani sio suala la mtu mmoja, linagusa zaidi ya watu kumi , hivyo kuwa kero kubwa kwa sisi kama wananchi

makampuni haya manne yachunguzwe vizuri , inaonekana yameanzishwa kutapeli na kusumbua wananchi

Majina ya kampuni ni
1) Interflow Commercial (T) Limited
2) Rubab Investment
3) Jasman East Africa limited
4) Multimodal transport Africa lImited

Mtu huyu anaetusumbua ni mhindi anaejulikana kwa jina la ABBAS na hata mawasiliano yake ni 0778 999 999 na msaidizi wake ni 0754 022 897

Hawa watu hawana nia njema na sisi wanatupiga chenga kila siku jambo lisiishe, na wengi hatujui hatima yetu maana viwanja tumenunua ili kujistiri na familia zetu , ila mwaka sasa umeisha jamaa wanatukimbia kimbia mahamani
.....
Natanguliza shukrani, naomba wahusika walifuatilie hili maana ishakua kero ya wananchi

Natanguliza shukrani, Asanteni sana, naombeni ushirikiano wenu
Jumba Mkumbi ni Diwani Mstaafu wa Kibada,
Anatajwa maeneo mengi yenye deal za kitapeli za viwanja.
Ni nyumbandogo ya Mmoja wa Wakubwa pale Wizara ya Ardhi. Tena mkubwa mwenyewe ni mwanamke ambaye ni mke wa mtu.

Nilipoona jina lake hapo juu, nikaona niwaletee ufafanuzi utakaosaidia vyombo vya uchunguzi kubananishana naye ili haki ipatikanike.

Juma Mkumbi, amewahi kujaribu mara kadhaa kwa kushirikiana na Diwani wa Toangoma kutaka kuzalisha viwanja kwenye Kitalu 13 eneo la buffer na awali alifanikiwa kuzalisha viwanja 22 ambavyo Mkurugenzi wa Upimaji alipotembelea akaifuta ramani. Alipostaafu Mkurugenzi Lyamuya (infact alipelekwa kuwa mkuu wa chuo) walijaribu tena kufufua zoezi la Kitalu 13 Kibada lakini Waziri wa wakati huo (Lukuvi) alifuta zoezi hilo...

Kigamboni ni warzone ya viwanja.
 
Eneo kubwa la kigamboni maeneo ambayo ni potential & premium yanamilikiwa na wenye asili ya wahindi,waarabu au wapemba mfano Scaba Scuba, Akbar, Oil com, Dar es salaam zoo, fun city, water com, Alimu, Manji, Maridori na wengineo.

Ndugu zangu shikamaneni muwe na umoja pambaneni na huyo Abbas, huyo jamaa ni tapeli kipindi cha Magu alikimbia kigamboni naona Sasa amerudi kwa kasi.
Kwamba mama amemhakikishia usalama wake dhidi ya utapeli au kipi kimempa ujasiri kurudi ikiwa serikali ni ile ile ye CCM?
 
Back
Top Bottom