Huo ni ugonjwa kwenye zao la mahindi unaitwa Corn Smut unasababishwa na Fungus wanaoitwa Ustilago Maydis
Husambazwa kwa njia ya hewa, umwagiliaji, kinyesi cha wanyama kam ng'ombe akila masalia ya mahindi yaliyoshambuliwa, mbolea ya samadi kama mifungo imelishwa chakula kilicho contaminate hawo fungus huenezwa kupitia Spores(ungaunga) unaokuwa kwenye guzi la mhindi(Uvimbe) ukishakauka.
Favourable conditions( hali inayoruhusu usambazaji wake ni Winter (kiangazi) kipindi kirefu ch jua maana hukausha spores na kuweza kuruhusu kusambaa .
Spores zinauwezo wa Kukaa kwenye udongo miaka 5-7 .
Namna ya kuzuia
Hakuna dawa yoyote ya fungus inayoweza kutibu bali kuna njia za kupunguza asali na kuondoa Kabisa Ugonjwa kwenye shamba
Nazo ni:
Kuharibu na kuteketeza mahindi yaliyoshambuliwa kabla ya kukauka na kupasuka.
Kupungu injury kwenye mizizi ya mimea mana spores zinazokaa kwenye udongo huathiri mmea kupitia michubuko ya mizizi.
Kuchoma na kuteketeza masalia ya mmea iliyoshambuliwa.
Kutotumia masali yaliyo shambuliwa kama malisho ya Mifugo ili kuepuka usambazaji wake