Mhitimu afariki akiwa anajitolea kiwanda cha Sukari Bagamoyo

Mhitimu afariki akiwa anajitolea kiwanda cha Sukari Bagamoyo

Mhitimu wa fani ya uhandisi wa uvunaji na uchakataji ( Bio process and post harvesting Engineering) mwaka 2020 amefariki katka kiwanda cha sukari Bagamoyo wiki iliyopita, alipokuwa anajitolea ,kiukweli inatiaa simanzi natamani kiwanda kitoe maelezo ya kutosha , inachanganyq aisee
Mtaalam na wewe ungeandika vizuri Kwa kutoa taarifa vizuri na jua na wewe umesoma,Poleni sana kiongozi
 
Mhitimu wa fani ya uhandisi wa uvunaji na uchakataji ( Bio process and post harvesting Engineering) mwaka 2020 amefariki katka kiwanda cha sukari Bagamoyo wiki iliyopita, alipokuwa anajitolea ,kiukweli inatiaa simanzi natamani kiwanda kitoe maelezo ya kutosha , inachanganyq aisee

Mbona kama unakitu na hutaki kukielezea...
 
Mhitimu wa fani ya uhandisi wa uvunaji na uchakataji ( Bio process and post harvesting Engineering) mwaka 2020 amefariki katka kiwanda cha sukari Bagamoyo wiki iliyopita, alipokuwa anajitolea ,kiukweli inatiaa simanzi natamani kiwanda kitoe maelezo ya kutosha , inachanganyq aisee
Haijitoshelezi
 
Kwamba kaingia kwenye boiler au crusher?
 
Back
Top Bottom