K
timu wa fani ya uhandisi wa uvunaji na uchakataji ( Bio process and post harvesting Engineering) mwaka 2020 amefariki katka kiwanda cha sukari Bagamoyo wiki iliyopita, alipokuwa anajitolea ,kiukweli inatiaa simanzi natamani kiwanda kitoe maelezo ya kutosha , inachanganyq aiseew
Kwa nini kiwanda kitoe maelezo ya kutosha!?..kafaje!?..kanywa kemikali za kiwanda,kadondokewa na vifaa vizito vya kiwanda!?
timu wa fani ya uhandisi wa uvunaji na uchakataji ( Bio process and post harvesting Engineering) mwaka 2020 amefariki katka kiwanda cha sukari Bagamoyo wiki iliyopita, alipokuwa anajitolea ,kiukweli inatiaa simanzi natamani kiwanda kitoe maelezo ya kutosha , inachanganyq aiseew
Kwa nini kiwanda kitoe maelezo ya kutosha!?..kafaje!?..kanywa kemikali za kiwanda,kadondokewa na vifaa vizito vya kiwanda!?