Mhitimu afariki akiwa anajitolea kiwanda cha Sukari Bagamoyo

Mtaalam na wewe ungeandika vizuri Kwa kutoa taarifa vizuri na jua na wewe umesoma,Poleni sana kiongozi
 

Mbona kama unakitu na hutaki kukielezea...
 
Kwenye viwanda vya sukari hamna mambo ya hatari kihivyo
 
Haijitoshelezi
 
Kwamba kaingia kwenye boiler au crusher?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…