Akiingia pale bado clarifiers zitafanya kazi yakeKuna Ile inaitwa shredder hammer
Na ni wapemba hao kina bakheresa.@Omughaka tafadhar sana naomba pita hapa useme neno......
Kifo kwa binadamu na viumbe vyote hai tumeumbiwa, popote pale mtu au kiumbe anafia!Mhitimu wa fani ya uhandisi wa uvunaji na uchakataji ( Bio process and post harvesting Engineering) mwaka 2020 amefariki katka kiwanda cha sukari Bagamoyo wiki iliyopita, alipokuwa anajitolea ,kiukweli inatiaa simanzi natamani kiwanda kitoe maelezo ya kutosha , inachanganya aisee