Katika hali isiyokawaida mwalim mtarajiwa aliyesomea katika chuo cha Tumaini Makumira ngazi ya degree, amejikuta akipokea kipigo kutoka kwa mwananchi mwenye hasira kali, ikiwa sababu kubwa ni kudaiwa Tsh 5000, akitoa maelezo mwalim huyo akiwa hospital anadai alipewa hyo pesa kutoka kwa mzazi huyo ili amfundishie mwanae.
Na baada ya mwalim kuona mwanafunzi hafiki sehem ya mafunzo,ndipo alipoamuwa kuachana nae na kuondoka kwenda Songea kwa mjomba wake, aliporudi tu ndipo mzazi wa mwanafunz akadai pesa yake, mwalim huyo alimuaidi kuwa ampe siku 4 atakuwa kasha rejesha kiasi hcho.
Mzaz alipoona siku ya ahadi imewadia alimfuata mwalim huyo,ndipo mwalim huyo akasema atampa akisha ajiriwa kupitia pesa ya kujikimu na atamtumia kwa njia ya mtandao, ndipo mzaz huyo alipopandisha hasira na kumvamia mwalim huyo na kisha kumpiga na kumvua shati na viatu vyenye thamani ya 45,000/=,hadi muda huu naingia JF mwalim bado yupo hospital kwa uchunguzi zaid wa kiafya na mzaz anashikiliwa na polisi.
Na baada ya mwalim kuona mwanafunzi hafiki sehem ya mafunzo,ndipo alipoamuwa kuachana nae na kuondoka kwenda Songea kwa mjomba wake, aliporudi tu ndipo mzazi wa mwanafunz akadai pesa yake, mwalim huyo alimuaidi kuwa ampe siku 4 atakuwa kasha rejesha kiasi hcho.
Mzaz alipoona siku ya ahadi imewadia alimfuata mwalim huyo,ndipo mwalim huyo akasema atampa akisha ajiriwa kupitia pesa ya kujikimu na atamtumia kwa njia ya mtandao, ndipo mzaz huyo alipopandisha hasira na kumvamia mwalim huyo na kisha kumpiga na kumvua shati na viatu vyenye thamani ya 45,000/=,hadi muda huu naingia JF mwalim bado yupo hospital kwa uchunguzi zaid wa kiafya na mzaz anashikiliwa na polisi.