Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Unajiuwa then kesho unafika wito unatakiwa ukaripoti ofisi fulani kubwa ukaanze Kazi.
Imewahi tokea, ugumu wa maisha msongo wa mawazo binti kajiuwa ijumaa maziko jumapili jumamosi kaja rafiki yake ana barua yake inatakiwa akaanze kazi ya HR jumatatu.
 
Back
Top Bottom