Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo hapo liveAmani kwenu
Salamaleko
Yule mhubiri wa kiislamu kaishia wapi
Mbona simsikii je kwa mkapa alieenda?
Na walihudhulia watu wangapi
Mbona hatupean update
LONDON BOY
Hilo hapo live
View: https://www.facebook.com/watch/?v=601687012811654&vanity=AfricaTVch2TZ
Kama shida yako ni kuangalia ujumbe ama kuhesabu wangapi walifika yote utayapata humo.
🤣🤣🤣🤣Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Ngeli ya kihindi iliwashinda mashwahaba wa bongo Wana daawa ikabidi wampotezee akaendelea na utalii wake😀😀Amani kwenu
Salamaleko
Yule mhubiri wa kiislamu kaishia wapi
Mbona simsikii je kwa mkapa alieenda?
Na walihudhulia watu wangapi
Mbona hatupean update
LONDON BOY
Mzee umenichekesha kwenye daladala hapa daaahKasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Sidhani kama limefanyika kwa mkapaNataka kwa mkapa
Usijekuwa umecheka mpaka ushuzi nawe ukakuponyokaMzee umenichekesha kwenye daladala hapa daaah
Mpigiee yesoo makofeeAposto kuna ushuhuda apa.
Nini kimekutokea 😃
Acheni slander zisizo na maana, Yeye atambe kama nani? Kutoa kwenyewe speech kaamua tu maana ulikua ni mhadhara wa wanawake na alialikwa mkewe, yeye akaja kama bonus tu.Alitamba kuwa atafanyia kwa mkapa
watz wali react sana ujio wake, waliona ingeleta utata wa kidiplomasia na india. Huyo jamaa india inamuona ni gaidiKwa nini hajafanya?
Mtu kulinganisha Muhammad na Yesu Kwa nini iwe shida?
Daaah aliingia loss, angekuwa anajua kimanyema angewaokota sanaNgeli ya kihindi iliwashinda mashwahaba wa bongo Wana daawa ikabidi wampotezee akaendelea na utalii wake😀😀