Mhudumu kaniibia cmu na kuficha kwenye nyeti


Nyeti ipi? tiGo ama Ikulu kabisa?
 
wangeiacha tu muhudumu amalize.......hiyo simu ilibidi iite kama mara tano hivi, na wala usingeipata, naanga ingekuwa umelowa mpaka betri

umenena kiaina ila alimpa masharti mhudumu alimuambia akaitoe afungue phone atoe chp aifute so aliondoka na chip tuu. lkn wanajuana na mhudumu kwani alimiss harufu ya nehneh.
 
Jamani nadhani c wahudumu wote wako hivyo. Mi kuna mhudumu Moro alinitunzia cm nilioisahau mezani. Tena ndo nilikuwa natoka kuinunua.
 
Pole sana Fidel80 da ila hiyo simu ya kuwekwa kwenye nyeti ..haifai tena toa line umpelekee zawadi ya simu huyo mwizi wako
 
Pole sana Fidel80 da ila hiyo simu ya kuwekwa kwenye nyeti ..haifai tena toa line umpelekee zawadi ya simu huyo mwizi wako

Ahsante hii cmu naipenda sana kumwachia roho inauma bora nibadilishe hauzingi wkt anaitoa ilikuwa imelowa kabisa
 
Kweli bongo mikasa haishi......yeaaaaks
 
:doh::doh::doh::doh::doh😛ole mkuu, yaelekea huyu hajaujua mji vizuri alisahaua hata kuizima? au hukumpa huo muda
 
Itabidi tu mfanye kweli, si umeshashika nonini yake hahaa, mi nimeona kwenye citzen newz juzi, kenya mwanamke kaiba sim akaimeza, wamepiga ikaitia tumboni.
 
Huyu Fidel kila siku tunamwambia hizi baa na mijengo ya manzese sio zenyewe kabisa....Ivi mjukuu mtukutu, kumbe simu ikiwekwa sehem sehem bado inakuwa na netiweki?

Unataka mjukuu mtukutu aka-test au unasema nn hapa........au sehemu sehemu ina maana mpya siku hizi.
 
:doh::doh::doh::doh::doh😛ole mkuu, yaelekea huyu hajaujua mji vizuri alisahaua hata kuizima? au hukumpa huo muda

weweeee!! mi simu zangu huwa naziharibu sehemu ya kuwashia na kuzimia....ninakuwa najua mm peke yangu jinsi ya kuiwasha.......ukiiba imekula kwako mazima.

Hata sehemu ya kukatia cm huwa sina.....nikikupigia ww ongea tuuuu, ukimaliza kata!! heheheheee:msela::msela::msela:
 
Hii itakuwa mitaa ya Tip-Top pale!

BTW: unamaanisha aliizamisha yote au ilikuwa inashikiliwa na nguo ya ndani?
 
Pole sana mkuu ila usijiamini hivyo ck nyingine, bongo hii unaacha cm mezani tena hotelini. Yote tisa kumi pole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…