Mhudumu kaniibia cmu na kuficha kwenye nyeti

Mhudumu kaniibia cmu na kuficha kwenye nyeti

Yule kanikwapulia cmu mezani na kuificha huko fasta akarudi kuhudumia kupiga akawa anaruka ruka kama anacheza kiduku

Unajua Fidel sipati picha kama hiyo simu,
aliyoificha huko kwenye nyeti ringing tone yake ,
ilikuwa na ule wimbo wa NJOO USIKIE MAOMBI, NJOO USIKIE MAOMBEZI!!!!!
sasa jamaa alipokuwa ameibeep sijui mambo yalikuwaje tu!!!!lol....
 
GY na Bigirita nimewagaya


Kuanzia leo mi si mjukuu, kitukuu wala shangai yenu!!!

Fide uko api?, twende tukaitakase cm mwaya.
 
Nimetoka kunywa supu mitaa ya kati cmu yangu niliacha mezani na kwenda kunawa mikono mhudumu wkt anatoa vyombo akatoa na cmu yangu yaani kitendo kimefanyika ndani ya dk.2 nashangaa cmu haionekani. Kuuliza watu pale kila mtu anakataa wakaitwa wahudumu wote wakakataa mzee mmoja akasema taja namba yako kijana nikataja akapiga heee kati ya wahudumu 8 mmoja akaanza kucheza Kiduku pale watu tukawa tunashangaa mzee akawa anasema mbona cmu inaita dah kumbe yule aliye kuwa akicheza kiduku ndiye aliye nikwapulia na kuificha kwenye nyeti zake sasa wkt cmu inaita ilikuwa inamtekenya i see mmmh ikabidi aitoe pale dah na kuiweka mezani imetoka na shombo lol imeniradhimu ninunue sprit na kuipiga soap soap
Akina Baba_Enock, Asprin, Kimey, Teamo, Bigirita, Kaizer na wengineo tuwe makini tunavyo acha cmu mezani heri ya kina dada wanatembea na mikoba mikuuuubwa

Kama imeshaingizwa kunako shombo la fangasi ndo basi tena ishaingia nuksi ya kutupa hiyo. Yaani hadi huruma. Karibu dukani kwangu namtumia mfanyakazi wangu ujumbe kuwa ukifika ukajitambulisha ni Fidel upunguziwe bei. Kama uko Arusha nenda pale opposite na Golden Rose, yani nitakupunguzia bei kakangu pole sana.
 
Pole Fide,mi mwenyewe kuna mhudumu wa kiume aliniibia simu akaificha kwenye li-boxer lake.....wakaitwa wote,ikapigwa ile vibration simu ikadondoka na mtarimbo up......l.o.l :A S 20::A S 20::laugh::laugh::laugh:
 
Mi mzima kabisa Baba_E, vipi wewe? Nina appetite ya Fairway!!

............. I am Nobody, Noone and Nothing.....................

Mjukuu mtukutu, kunani leo?au hili suala la simu kusababisha kiduku limekuchanganya sana

Aisee kamarti iundwe ya kumuhamisha Fidel mijengo ya tiptopu!
 
huyu Fidel nimeshamfuatilia sana.ana visa na nyeti za kike,huwa akiziongelea lazima aziongee kuwa zinanuka,kuna siku alisema aligusa nyeti akashindwa kula ugali sbb kidole kilinuka siku nzima achilia mbali jitihada za kukisafisha.
kuna siku tena akasema tena alikutana na mwanamke nyeti inanuka,leo tena anasema simu inabidi aioshe kwa spirit sbb inanukwa sbb imewekwa ktk nyeti za huyo muhudumu wa kike,sasa mm najiuliza,huyu mpwa ana bahati mbaya ya kukutana na wanawake wenye nyeti zinazonuka au ni anadhani kwamba nyeti za wanawake zinanuka?.
anyway hongera kwa kupata simu yako iliyozamishwa kusiko.
 
Aje tu atanikuta

Ah................we Babu GY wewee.oh sorry we GY wewe!!

Ni kweli Fide maeneo haya kayazoea but tukimuhamisha huko tutakosa mwakilishi wa JF wa kutuhabarisha yalojiri kipande hicho.....uko tayari kukosa vituko vya Rombo Green View???

Abaki tu huko but apandishe qualification za samaki anaotega bana.........
 
Duh!
Muhudumu ana balaa, ingezama ndani kabisa sijui mngemchokonoa muitoe. Mmh!
 
Ah................we Babu GY wewee.oh sorry we GY wewe!!

Ni kweli Fide maeneo haya kayazoea but tukimuhamisha huko tutakosa mwakilishi wa JF wa kutuhabarisha yalojiri kipande hicho.....uko tayari kukosa vituko vya Rombo Green View???

Abaki tu huko but apandishe qualification za samaki anaotega bana.........

Orait...orait...bonge lazima awe barabarani bwana sio studio!
 
Back
Top Bottom