Yule kanikwapulia cmu mezani na kuificha huko fasta akarudi kuhudumia kupiga akawa anaruka ruka kama anacheza kiduku
Nyeti ipi? tiGo ama Ikulu kabisa?
Unataka mjukuu mtukutu aka-test au unasema nn hapa........au sehemu sehemu ina maana mpya siku hizi.
Nimetoka kunywa supu mitaa ya kati cmu yangu niliacha mezani na kwenda kunawa mikono mhudumu wkt anatoa vyombo akatoa na cmu yangu yaani kitendo kimefanyika ndani ya dk.2 nashangaa cmu haionekani. Kuuliza watu pale kila mtu anakataa wakaitwa wahudumu wote wakakataa mzee mmoja akasema taja namba yako kijana nikataja akapiga heee kati ya wahudumu 8 mmoja akaanza kucheza Kiduku pale watu tukawa tunashangaa mzee akawa anasema mbona cmu inaita dah kumbe yule aliye kuwa akicheza kiduku ndiye aliye nikwapulia na kuificha kwenye nyeti zake sasa wkt cmu inaita ilikuwa inamtekenya i see mmmh ikabidi aitoe pale dah na kuiweka mezani imetoka na shombo lol imeniradhimu ninunue sprit na kuipiga soap soap
Akina Baba_Enock, Asprin, Kimey, Teamo, Bigirita, Kaizer na wengineo tuwe makini tunavyo acha cmu mezani heri ya kina dada wanatembea na mikoba mikuuuubwa
GY na Bigirita nimewagaya
Kuanzia leo mi si mjukuu, kitukuu wala shangai yenu!!!
Fide uko api?, twende tukaitakase cm mwaya.
GY na Bigirita nimewagaya
Kuanzia leo mi si mjukuu, kitukuu wala shangai yenu!!!
Fide uko api?, twende tukaitakase cm mwaya.
MJ1 salama lakini?
Shangazi Ti
Mi mzima kabisa Baba_E, vipi wewe? Nina appetite ya Fairway!!
Hahahh....
Mjukuu wa amani
Ujukuu hauna risiti
Shangazi Ti
Hahahha ngoja Mfalme wa Amani akusikie.............
We nimekugaya!!
MJ1 salama lakini?
Mi mzima kabisa Baba_E, vipi wewe? Nina appetite ya Fairway!!
Aje tu atanikuta
Im watching very closely!!!
Im watching!!!!.......
Ah................we Babu GY wewee.oh sorry we GY wewe!!
Ni kweli Fide maeneo haya kayazoea but tukimuhamisha huko tutakosa mwakilishi wa JF wa kutuhabarisha yalojiri kipande hicho.....uko tayari kukosa vituko vya Rombo Green View???
Abaki tu huko but apandishe qualification za samaki anaotega bana.........
Im watching!!!!.......