Mhudumu wa Safaricom atuzwa kwa utu wake !

I wish to know namna ombaomba alivyovuka mpaka kwenda Kenya...
 
I wish to know namna ombaomba alivyovuka mpaka kwenda Kenya...

Sio mmoja, wawili ama mia mkuu, ni maelfu. wametapakaa toka Nairobi hadi Eldoret, wanasema manyangau wanapenda kusaidia sana ndiposa wamesafiri kuja Kenya kuchuma, sijui hii visa ya pamoja ikiruhusiwa watahamishwa wote kenya ama kutaendaje... wanakaribishwa tu, Kenya hakuna matata.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uko na joki wewe sio
 
Hahaha Mk bana hujasikia kuna sehemu Pauline anasema alifurahi sana jinsi Mzee Kisumo alivyo msemesha ,"Samahani Mwanangu" hiyo lugha nyie hamna ndio maana Pauline akaona ni miujiza alishangazwa ukarimu wetu Watz hivyo msee uache maneno mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…