Mhudumu wa Songea

Naomba namba ya simu ya huyo teacher, hakufai mkuu, niamini mimi.
 
Hadithi(uzi) yako inatufundisha nini?

Mie naona si kila jambo la kupost tu.

Msikasirike washikajj, haya mawazo tu" solo thang katika mtazamo.
 
Next time njoo 24 plus Mbinga, kuna Wanyasa wana matcle kama Asha ngedere.
Ipo sehemu ganj???

Najua ilikuwa inavuma Eagles pale Kuna ufirauni hatari,

Kwasasa ni njombe bar iliyopo maeneo ya sokoni,
 

Aisee mkuu ungenitonya nilikuwa pia hapo Serengeti siku hiyo,mishe zako zote niliziona big up sana
 
Ni kuhusu bia siyo?Iga wasukuma.Penda sifa.Nunua kwa fujo mara nyingine.
 
SONGEA KUNA BAR AU KIOSK??
Watu ambao ruti yenu ndefu ya kusafiri ni Mbagala to Kawe mna shida sana. Bado akili yenu imefungwa hapo ulipo unadhan Tanzania mwisho wake ni Kibamba🤣🤣🤣
Amua siku moja nenda LINDI kuna MASHUJAA PUB iko ufukwen pale karibu na Magereza ni kali kuliko hizo za Dar sjui Kitambaa cheupe.
Pitiliza nenda hadi MTWARA kale bata zako pale LEOPARD LOUNGE ni patamu zaidi ya Liquid na The Great.
Pita Masasi, Tunduru zama SONGEA mdogo wangu Tanzania ni kubwa na yenye mandhari nzuri mnooo.
Hapo songea zama LA CHARLS utasahau vurugu zooote za Sinza yaani pale utapata kile unataka.
Sasa Viosk unavyosema labda vipo huko kwenu Buzza lkn Songea kuchele mkuuu
 

Proudly, you have shared this nonsense? Inabidi tukae kikao kama nchi tujadili tumekosea wapi!
 
Watu wa dar sijui wapoje??

Na mwambie anyooshe Mbinga to Mbamba bay ajionee,hatotamani kurudi kwenye jiji linalonuka uvundo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…