Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wewe mgeni ni jinsia gani, me au ke
Salama,
Wewe ni me au ke?
Napitia pitia mistari na changamoto za humu... Wakubwa.. Habari zenu...
Jf me, hawakaribishwi kwa bashasha kama id itakayokua na ukike ukike hivi, sasaivi page zingekua zinasoma double digits huko.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kweli kabisa maana watu wanaomba hadi urafiki ila wakosikia dume wanapotelea mitiniJf me, hawakaribishwi kwa bashasha kama id itakayokua na ukike ukike hivi, sasaivi page zingekua zinasoma double digits huko.
Si ufungue uzi wako hadi udakie huu wa mwenzio!!!!!Jamani,Mimi mgeni,habari ya humu ndani?