mi mi la kusema sina.wana jf semeni wenyewe

Pole sana.
najua una maumivu sana,lakini ulikuwa unafanya kazi zisizo
zako na kuna watu wamekosa kazi kwa kuwa tu ulikuwa na nafasi yao
while hukustahili.

Rudi shule,25 ni miaka michache sana.
Nikiwa form1 nimesoma na mtu akiwa 25yrs.
Na leo ni mwalimu wa sekondari flani huko shinyanga.
 
Aise hiyo ni ngumu sana.Utaanzaje kumwambia mwajiri kuwa utampa certain percent ya mshahara kisa huna vyeti?Siku ukiharibu kazi itakuwaje?Si ndo utasema mbona huwa unampa vihela kidogo!

kuaribu kazi sio kitu kigeni makazini na inatokea kwa bahati mbaya, believ me kwa bongo ya sa hizi ni vilaisi kuwin kwa hii njia mabosi wengi wana njaa na by the way experience unayo tiari..
 
Kwa sababu kasoma accounts. Namshauri arisit form 4 then asomee masomo ya bodi(NBAA) nyumbani(artech na foundation). Kwa knowledge ya accounts aliyonayo anaweza kuwa anafanya hata pepa mbilimbili kwa mwaka. taratibu anamaliza bila hata stress. by the y asante kwa kushare hii mada huku. Mi nlikuwa cjui madhara ya hii maki2 aisee! du!
 

hivi naanzia wapi jamani, nirudi tena kurisit form four, naona siwezi that means another 7 yrs za kurudi shule by then ntakuwa na 32yrs ntazeekea shule jamani,

miaka saba siyo mingi......ingawaje shortcut ni kure-sit form iv..................akifaulu afanye form six.............hiyo ni miaka 2.....................na baada ya hapo afanye advance dipl or degree 3.........kwa hiyo anasahau ya kuwa kwa ujuzi alionao hahitaji certificate ile tena.....................alichokosea alitakiwa abadilishe jina kwa kiapo kwa mwanasheria kupitia affidavit...........................na hivyo kuanza kutumia jina lake la asilia....................baadcaa tu ya kupata admission ya chuo....................tatizo nilionalo kwenye hii hadithi au riwaya ni kuwa kwenye zoezi la kusaili hakuna ambaye humuuliza mhitimu wa stashada ya juu aonyeshe cheti cha form 4...............wengi huwa wamevipoteza..........na wala havina maana kwa sababu tayari unaelimu ya juu zaidi......................nionavyo hii stori siyo ya kweli labda mtu anataka kuandika riwaya kama zile za ligongo................
 
case yako ni genuine. Upo tayari kufanya kazi morogoro? Tutaangalia uwezo wako wa kazi na kukupa kazi kama utaprove kuiweza kazi. Ni pm kwa maelezo zaidi. Usikate tamaa. There is always light at the end of tunnel.
 
dah! inasikitisha. Ila kama alivyosema mkuu hapo juu ikiwezekana kaape ubadili jina, ila nakumbuka wakati sisi tunasoma tulipokaribia kumaliza chuo tuliulizwa kama tunataka kubadili majina ( kwa wale walioolewa ama kubadili dini au kwa sababu nyengine yoyote), kama na nyie mlitangaziwa hivi basi haraka sana ungebadilisha jina la baba yake ( surname) halafu ingebakia kubadilisha jina kwenye cheti cha form four. all in all pole sana dada Smile (japo sio wewe).

Aliwahi kunifata mwana ukoo mmoja darasa la saba wakati nimemaliza form four akitakata nimpe cheti changu cha form four akajiunge na jeshi. na udogo wangu kwakweli nilisita.
 
Hapo inabidi uwe na mawili au matatu...
1. Waza kujiajiri na,ama

2. andika kwenye matangazo madogomadogo(classifieds) juu ya uwezo ulio nao na kwamba unatafuta kazi,na pia renumeration tangaza kabisa ni kutokana na muajiri atakavyoona performance yako.Usilenge makampuni makubwa.

3. Kama ungekuwa umesoma novel ya "The Godfather".. Ungemtafuta huyo mtu akusaidie,kwake ni vitu vidogo sana,na wala hatakuchaji.Sanasana atataka siku atakayohitaji msaada wako ujue utalazimika kumsaidia.
 
Alikupa cheti kama wifi yake. Mdogo wa to be wake. Sasa kaka yako labda hakuridhika naye na kapata chuma kingine na kamuoa. Hapa inategemea uungwana ambao kaka yako aliomfanyia. Lakini ki ulimwengu huu wa leo...............

YOU SCRATCH MY BACK AND I WILL SCRATCH YOURS.

Yayaka ustahmilivu kweli kuku achia hivi hivi. Hasa ukitafakari how heart broken and devastated she would be.

Msamehe na wewe endelea na lwako.
 
mie mwenyewe nimeforge A level,wkati sijasoma nimeaply chuo na nimepata bado kuanza september degree Accountancy katika chuo kimoja uk,hii topic imenishtua,inabidi kuwa careful watu wasijui niliforge lol,..............wakati naaagiza nitafutiwe cheti huko tanzania nilikumbana na kaka mmoja akaniambia ataniunganishia na watu wa wizarani unawapa hela wanakutengenezea cheti orijino na shule wanakutafutia mkoani,cheti kinakuwa na jina lako na specifications unawapa sema ndio kinatoka wizarani,sikumuamini sana huyu kaka sababu namjua toka hapa uk ni mwongo mwongo...nilitengeneza tu vyetii mtaani na bahati nzuri nikapata admission,labda wewe ujaribu kutafuta watu wizarani wakutengenezee cheti chenye jina lako na grades,mnaosema kurudia kusoma mmnh....mie nilijaribu hapa uk kusoma crash program ya alevel mmmmnh niliona maruwe ruwe tu kuforge sometimes its a way forward,six seven years jamani...kwa kweli hapana.
 

We acha uongo kazi nyingi tu unatakiwa uoneshe vyeti vya form 4 na 6
 
halafu bongo kwa nini wasianzishe mature entry kwenye vyuo,ambapo qualifications za mtu hazimati sana kama he is above 21 bali exprience ya kazi,yaani ungekuwa uk ungeenda moja kwa moja univeristy kutokana na uzoefu ulionao...mmmmnh
 
Hivi mtu aliyepata div.iv 33 anawezaje kusoma accounts na akafaulu,hv vyuo vya siku hz bomu kweli,hasa cbe,wanabeba failures ndio matokeo yake!
 
Iwekee aya basi hiyo stori yako ipate kusomeka vizuri maana sasa hivi text yote iko single spaced bila mgawanyo wa aya na haivutii kusoma.

Kweli weye nyani kweli tena nyani ngabu. Yaani pamoja na maelezo yake yote huwezi gundua ni kwa nini ameandika barua ya namna hii. Msaidie kama alivyoomba na wala si kum 'disappoint'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…