instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Yap si hela wanazo,wadhamini wanao na uwezo wanao.
Mi naona kikosi kizima,kocha,menega,uongozi,mpaka msemaji manara waondolewe Kwa kufunua uwanja mpya.kuzunguka tz nzima na kutafuta vijana wenye vipaji kuwatrain na kutengeneza kikosi kipya
Hivyo hivyo taifa stars
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona kikosi kizima,kocha,menega,uongozi,mpaka msemaji manara waondolewe Kwa kufunua uwanja mpya.kuzunguka tz nzima na kutafuta vijana wenye vipaji kuwatrain na kutengeneza kikosi kipya
Hivyo hivyo taifa stars
Sent using Jamii Forums mobile app