Mi napinga Maria Sarungi kuongea kesho Januari 13

Mi napinga Maria Sarungi kuongea kesho Januari 13

Hakuna ulazima wa yeye kuongea kesho. She must wait until she is fully recovered from the shock.

She should wait for the right time. She is in a foreign country.

Kwa hiyo asiihusishe nchi jirani na siasa za Tanzania.

She could wait until NEXT Monday.
Hatuhitaji kusikia hizi monotonous stories za utekaji.
Itakuwa siyo heshima kwa Rais wa Tanzania Maria akifanya Press Conference Nairobi.
kwani amekwambia ana shock?! pumbafu nyie mmeanza kuginyeanyea sasa mnaachwa uchi fisiem ni mashetani
 
Hakuna ulazima wa yeye kuongea kesho. She must wait until she is fully recovered from the shock.

She should wait for the right time. She is in a foreign country.

Kwa hiyo asiihusishe nchi jirani na siasa za Tanzania.

She could wait until NEXT Monday.
Hatuhitaji kusikia hizi monotonous stories za utekaji.
Itakuwa siyo heshima kwa Rais wa Tanzania Maria akifanya Press Conference Nairobi.
Hofu inatoka wapi?

Unasema kwamba "Itakuwa siyo heshima kwa Rais wa Tanzania Maria akifanya Press Conference Nairobi," Je, umaanisha nini kusema hivyo?
Kwani Rais Samia ndiye aliyemteka huyo Maria Sarungi huko Nairobi Kenya? Au unataka kusemaje hapa?
 
Ataongea nini, anataka kuwaonyesha anavyolia tu. Huyu kweli anatafuta kiki sasa, anaongea na watanzania au wakenya?
Yani huu ujinga sijui utatuisha Lini, Yani huyo naye kaita Press na watu watamsikiliza?

Mic zimekuwa Nyingi China kila mtu anayakwake, kila mtu anvyojisikia anaongea na Wadanganyika.

Kila mtu anaita Press, anataka kuongea na Wadanganyika wanakuja, Ngoja nami nitoke India lazima niite PRESS niongee na Wadanganyika.
Ndugu, uko sawa kweli!! Relax, ok! Ikiwezekana kunywa maji mengi ili ushushe presha ya mwili.
 
Hakuna ulazima wa yeye kuongea kesho. She must wait until she is fully recovered from the shock.

She should wait for the right time. She is in a foreign country.

Kwa hiyo asiihusishe nchi jirani na siasa za Tanzania.

She could wait until NEXT Monday.
Hatuhitaji kusikia hizi monotonous stories za utekaji.
Itakuwa siyo heshima kwa Rais wa Tanzania Maria akifanya Press Conference Nairobi.
Ninazingatia kile usichokiongea
 
Yani huu ujinga sijui utatuisha Lini, Yani huyo naye kaita Press na watu watamsikiliza?

Mic zimekuwa Nyingi China kila mtu anayakwake, kila mtu anvyojisikia anaongea na Wadanganyika.

Kila mtu anaita Press, anataka kuongea na Wadanganyika wanakuja, Ngoja nami nitoke India lazima niite PRESS niongee na Wadanganyika.
Mbona ana online media yake
 
Hakuna ulazima wa yeye kuongea kesho. She must wait until she is fully recovered from the shock.

She should wait for the right time. She is in a foreign country.

Kwa hiyo asiihusishe nchi jirani na siasa za Tanzania.

She could wait until NEXT Monday.
Hatuhitaji kusikia hizi monotonous stories za utekaji.
Itakuwa siyo heshima kwa Rais wa Tanzania Maria akifanya Press Conference Nairobi.
Serkali imezidi kuteka wapinzani wacha aongee.
 
Bora aongee ukweli tujue mapema kuliko kukaa kimya then badae mje kutuletea simulizi za vitabu inakuwa haina maana
 
Fear of the unknown
fear of loss, the thunderstorm never strike twice at same place, aongee tu issue ikiwa hot. Maana between days kuna mambo mengi yanaweza kutokea na kufanya tukio hili lipotezewe umma ushindwe kuelewa.
 
Hakuna ulazima wa yeye kuongea kesho. She must wait until she is fully recovered from the shock.

She should wait for the right time. She is in a foreign country.

Kwa hiyo asiihusishe nchi jirani na siasa za Tanzania.

She could wait until NEXT Monday.
Hatuhitaji kusikia hizi monotonous stories za utekaji.
Itakuwa siyo heshima kwa Rais wa Tanzania Maria akifanya Press Conference Nairobi.
Wewe sio maria

Mwache atumie uhuru wake
 
Back
Top Bottom