Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Yaani kama kuna mwanamke anaamini story za humu ni mjinga kweli!!!
Upoteze mtu wako wa future sababu ya hadithi za kusadikika???? Ongea na huyo mchumba wako tu hamna namna ingine, zaidi wazidi jichoresha tu
Napendaga sana akili yako inavyofanya kazi vizuri.
 
Acha kutisha watu wewee, inaelekea unagongewa sana wew..huyo baladhuli nae alikugongea,..daah,acha usirias sio sifa.madem wanapenda uwe kawaida,penye kucheka cheka,kwenye stor pig stor,penye usirias kua sirias,sasa wee endelea na kutisha watu,jamaa ndo anazid kukaza sabab kashakuona boya
 
Yaani huu uzi umenichekesha sana sio siri nmecheka hadi staff wenzang wananishangaa,safari hii sikudanganyi naja kweli nadhani baada ya 3 weeks hivi pacha
Hahahaaa. We cheka tu Pacha.

Na nimeanza kuhesabu hivyo ukinidanganya Pacha walahi vile nakupandia gari nakuja huko huko.

Chezea umbea weye. Hahahaa.
 
Siyo wewe kweli?
 

Ni vizuri kama ungemface mhusika moja kwa moja pia ni vizuri zaidi ukazungumza na mchumba wako kuliko kulenga jiwe gizani mkuu

.inawezekana huu ujumbe usimfike mhusika yoyote mkuu
 
Huyo jamaa amevuruga ndoa zetu sie tunamuogopa kama Zitto alivyokuwa anaogopwa na JK lakini amempata JPM wake GuDume tumbo joto.
Me nilivyomaliza tu kusoma hyo story hamna mwingine niliyemfikiria zaidi yake
 
Reactions: BAK
Nawewe mjinga sana...sasa huyo unadhani nimwanamke wakuoa.achana nae tafuta Mwanamke Mwingine haraka...tena unasafiri jamaa atajilia kwa itapendeza sana
 

Poole sana Bwana chizi..lakini ningependa urejee yafuatayo na kujibu maswali ili nipate Mwanga wa kukushauri vizuri.

1.Kwasasa ni mwezi wa TANO upo nae!

Swali:Kwa ubize uliinao umewahi kutenga mda wa kutosha kukaa nae nyumbani walau wiki moja!?

2.Amemaliza chuo miaka miwili ilopita

Swali:Miaka miwili ni miezi 24,ukitoa mitano mlokaa pamoja,miezi 19 ilobaki alikuwa wapi na alijishughulisha na nini!?

3.Unasafiri sana,hivyo mda nwingi anakuwa mpweke nyumbani na Hana kazi ya kumkeep busy

Swali:Unahisi huu ni mfumo salama wa maisha ya majaribio ya ndoa?

4.Umegundua anavutiwa na member humu ndani..na uhusiano wao unatishia afya na uhai wa mahusiano yenu.

Swali:Umemlaumu sana Member (jina umelihifadhi)lakini kwa maelezo yako inaonekana mchumba ndo Chanzo cha ukaribu wao,huoni kwamba kumchukia na kumlaumu huyu member bila kushughulikia udhaifu wa mchumba wako ni uchokozi na kutafuta uadui kwa member asiyekuwa na hatia?(mana pengine hajui kama mdada ni mchumba wako?
5.Umemhudumia sana wakati akiwa chuoni

Swali:Wakati unamhudumia ulijiridhisha kuwa anauhitaji na kuuthamini msaada wako?
Ulijiridhisha anakupenda,yupo tayari kuwa mkeo na ndie mwanamke sahihi kwako au ulifanya kwasababu unauwezo ama ulihisi ulifanya hivyo ndo atakupenda zaidi!?

6.wakati unamhudumia hakutumia frusa ya fedha ya wazazi kwa faida.
Swali:Hukujifunza chochote wala hukugundua chochote!?
Ulimshauri nini bada ya kuona anakiuka miiko ya kujenga maisha ya badae ukizingatia tangu amalize chuo ni miaka miwili sasa hana kazi!?

Majibu sahihi ya maswali haya yatasaidi sana kukufumbua macho na ufahamu wa kufanya maamuzi sahihi.Kila la kheri Chizi Maarifa
 
Upo nae huu mwezi wa 5, sasa mkuu icho chuo miaka 3 ulikuwa unamsomesha vp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…