Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Wanamla sana huyo demu wake
 
Wanamla sana huyo demu wake
 
Reactions: BAK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha mkwara bob kutombewa Kitu cha kawaida
 
Yalishang’oka sasa hivi tunakula kwa macho!
Inabidi tukukalishe chini mie na Pacha wangu utueleze kinaga ubaga kulikoni hicho kiuno. [emoji2] [emoji2]

Hatuwezi kukubali uendelee kuwa hivyo aisee.
 
Reactions: BAK
Hii ya leo kali

Wewe upo nae kimwili unashindwa kumpa raha unakuja kumtishia anayempa maneno matamu JF eeeeeeh

Ukiachwa usimlaumu mtu maana hata mchumba atakuona wewe bomu kweli kweli sasa hivi
We huna maana. Kwahiyo aendelee kufurahia demu wake anavolowanishwa?
 
nmegundua nyie watu mnaniombea mabaya sana..hamwoni kwua sasa ndo mnampa uthibitisho kabisa????????????????????????? nmewakosea nini mimi jamani mpaka mnaniombea mabaya hivi.......................
Hahahahaj leo leo
 
Hv Dada kwel inawezekana wanaume wote tukawa na maneno matamu katika level moja? Si kuna kuzidiana ? Nyie wanawake mnatutesaga sana mjue

Ha ha haaaaaa
Hayo maswali yageuze kuwa sentensi.
Na sentensi ya mwisho weka na pia wanaume.
 
Pole sana...
Wivu ni kidonda, ukishiriki utakonda...

Hupaswi kuwa na wasi wasi, kama wewe ndiyo unayelala nae, huyo anayemfurahisha kwa thread hana madhara...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…