fute alexander
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 382
- 148
Eeee, jamani msimpuuze huyu Jamaa, seems yuko serious kama kuna MTU anadate na mchumba wake aache, huwa madhara ni makubwa hatupendi mtu apungue humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo best umeudharau huu mkwara?Hii uku kwetu Mara tunaita ni mikwara mbuzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mie wala sichelewi my dear.
Nshatabasamu tayari hapa.
Sio kimoja tu pacha, yaani ni vingi mnooooo,kuna comment ukisoma unasema hivi huyu mtu akili yake ikoje au kawaza nn, sema yote ni yote basi burudani tupuUmeonaee. Mi pia Pacha hakujawahi nikasirisha huku yaani hata kama una kamnuno kako basi ukitembelea tembelea majukwaani lazima utapata cha kukuchekesha.
Cheko hili vipi mwaya....ila mleta mada kaandika kwa hisia sana huenda ni kweliHAHAHahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Kabisa yaani.Hewala upo vizuri
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]nmegundua nyie watu mnaniombea mabaya sana..hamwoni kwua sasa ndo mnampa uthibitisho kabisa????????????????????????? nmewakosea nini mimi jamani mpaka mnaniombea mabaya hivi.......................
Kabisa Pacha na ndio sababu humu hatuhami yaani tupo na tutaendelea kuwepo sababu kama ni burdani tunazipata bana. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio kimoja tu pacha, yaani ni vingi mnooooo,kuna comment ukisoma unasema hivi huyu mtu akili yake ikoje au kawaza nn, sema yote ni yote basi burudani tupu
Hatuhami ng'oooooo burudani zote tunapata hapa hapaKabisa Pacha na ndio sababu humu hatuhami yaani tupo na tutaendelea kuwepo sababu kama ni burdani tunazipata bana. [emoji23] [emoji23] [emoji23]