Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Kati ya kosa baya ambalo kama binadamu unaweza ukalifanya katika maisha yetu, ni hili la kumsaidia watu/mtu katika jambo/shida/changamoto fulani huku ukitegemea malipo/fadhila kutoka kwake.

Mfano, hili la kumsomesha mchumba, aisee ni bonge ya kosa rafiki yangu hatari sana katika afya binadamu yoyote yule.

Watu wengi sana wamelizwa katika hili. Sitaki kuchimbua Sana, ila ielewe kuwa unapoamua kusaidia, saidia kwa moyo mmoja lakini usitegemee malipo/fadhila kutoka kwa uliyemsaidia, labda itokee tu by chance lakini siyo lazima.

Kiuharisia, fadhila/malipo ya msaada hutoka kwa watu/mtu mwingine kabisa
. Ndiyo maana ya ule usemi usemao "tenda wema nenda zako, usingoje shukrani".

Nawasilisha.
 
nyie watu nyie mnaweza mkanisababishia matatizo makubwa kweli............. jamaa ataje huyo mchumba wake ni yupi. maana sasa tutaanza kuogopa kula mademu wa humu kisa atatushusha busha... haina noma watoto wa pwan wanapenda sana mabusha. ni suna. mi akinishusha busha poa tu.
Hahaha acha dhambi ww nan kakwambia busha ni suna?
 
Hahahaa. Mkuu sio kwa kutaka kuvunja mbavu zangu mchana huu. Pole sana hivyo watu kama hawa wanaotajwa humu hawakupi presha kabisa kwa sababu ushatenguka zamani. [emoji23] [emoji23]

Pacha Clkey uje unipe hii story ya nyekundu kama ni ya siri sana njoo kuleee mi nakusubiri. Hahahaaa.
Hahahahahah teheheheh pacha ngoja kwanza nimalize kucheka hiyo story ya nyekundu nitakusimulia nikija Dar tulia tuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Beira ww ndo mleya mada zako za kuwachanganya wachumba za wstu
 
Hahahahahah teheheheh pacha ngoja kwanza nimalize kucheka hiyo story ya nyekundu nitakusimulia nikija Dar tulia tuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hahahaaa. Cheka Pacha ila usipaliwe tu.

Ujue nakusubiri kwa hamu na nilivyo chaumbea hapa nina kimuhe muhe cha hatari yaani wacha kabisa.
 
Hahahaaa. Cheka Pacha ila usipaliwe tu.

Ujue nakusubiri kwa hamu na nilivyo chaumbea yaani wacha kabisa.
Yaani huu uzi umenichekesha sana sio siri nmecheka hadi staff wenzang wananishangaa,safari hii sikudanganyi naja kweli nadhani baada ya 3 weeks hivi pacha
 
Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
Naomba utaje jina la huyo mwanaume anaye muhusudu... nahisi atakuwa ananisaliti na mimi pia.
 
13 mega pixel mbona unataka kuniuzia kesi ndugu yangu? humu ndani kuna wakware wengi sana mi ni mtu mpole sina makuu na watu.... ila jamaa anaye akamfunge kufuli huyo mchumba wake. nimesoma kwa umakini sana hii thread. ujumbe umefika... nadhan "mhusika " atajirekebisha.
Hahahahahaj..........

GuDume unajihami??!! Ndio ukome kulowanisha wa wenzio kwa nyuzi zako zenye utata

Na mie nikikuona unakatiza kitaani kwetu nakutoa mkuku
 
Accha ujinga,kwanza tumeshasema mwanake hasomeshwi humu wewe husikii.Okay umemsomesha ili awe mtumwa wako?Kama anampenda jamaa acha aende unahangaika kulinda bahari boya wewe.Anamuambia amelowa papuchi?u are damn stupid.Acha matisho ya wanaume wa daresalaam,matisho sisi tumezowea,sasa basi kabla hajaharibikiwa,msaada mdogo nao kupa,huyo demu wako ni changu ndio maana anachat na huyo mtu,na si huyo tu kuna watu wengi anachat nao,na ukisafiri ana mtu,cha kufanya mtaje humu huyu changu na huyo jamaa tuwape ushauri kabla hawajaharibikiwa.
 
Hahahaa. Mkuu sio kwa kutaka kuvunja mbavu zangu mchana huu. Pole sana hivyo watu kama hawa wanaotajwa humu hawakupi presha kabisa kwa sababu ushatenguka zamani. [emoji23] [emoji23]

Pacha Clkey uje unipe hii story ya nyekundu kama ni ya siri sana njoo kuleee mi nakusubiri. Hahahaaa.
Mbona na bahati nzuri yupo humu na wanamlowanisha kila siku! Nawaachia wenye meno watafune
 
Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
Hahahaaaaa!
 
Mkuu ila mwenye tatizo ni huyo mchumba ako ebu kaa nae chini umwambie usivyopendezwa na tabia yake halaf gharama gani unataka urudishiwe kila siku wanaume humu mnaambiana mchumba hasomeshwi yaan gharama zako jihesabie umetoa sadaka pole sana
Hey....nipo Shunie bana nilikuwa tu katika kupambana na haya maisha...bt I'm back.

Sorry for late replying...!
 
Back
Top Bottom