Mi nimefell so naona izi thread zenu za shule naona uchungu kweli..!!!

Mi mwenzio nilikuwa na div 3 2003 bt leo nasoma Masters na nilianza na certfcat ya ualimu, dp, dgree nw napga Maed, kaza tu kwan kwenda form 5 co lazma unaweza kutumia njia nyingne ya mkato kwa kusoma vyuo vya uuguz au ualimu u-make pesa ndpo ujiendeleze.Kaza dogo na wala usioneshe dalili ya kukata tamaa.Kila la kheri.
 

Thanks!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…