wakuu mm roho inaniuma xna coz naona necta haikunitendea hak ki ukweli nilixma kwa juhud zangu zote na nilikuwa nashika no 1 tangu form 1 mpaka namaliza shule matokeo ya mock nilipata div 2,na matokeo ya pre nation nilipa div 1 kiukweli nilikuwa cfikilii kufel kabxa cha aja matokeo ya necta yalivyotoka shulen kwe2 hakufaulu hata mmoja nikajikuta nimeambulia 4 ya 26 na nilivyockia matokeo yanalekebishwa nilifurah xna lakn kilichotokea ni yale yale nilikuwa na f moja ya cvcs ndiyo iliyobadilika xo matokeo yangu ni C,C,D,D,D,D,D,D,D dah nauzunika kweli niombeen kwa mungu jaman nimeomba vyuo vya serekali nifanikiwe coz uwezo wa kusoma private cna..inauma xna
ahsanteni...!!!!