Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Hapa naona waliofanya tafiti na kupata ratio ya 4:1 itabidi warudi kwenye data analysis maana huenda ratio sahihi ni 4:3!
Mkuu umeandikaje hizo ratio? unaposema 4:1 maana yake ni watu wanne kati ya mmoja kitu ambacho siyo sahihi.

Sahihi ni 1:4 na 3:4.
 
Mkuu umeandikaje hizo ratio? unaposema 4:1 maana yake ni watu wanne kati ya mmoja kitu ambacho siyo sahihi.

Sahihi ni 1:4 na 3:4.
Umejuaje kama ni hivyo!? Unajua Roman unnandika kutoka kushoto kwenda kulia lakini Arabic ni kulia-kushoto!?
 
Ndio nilisoma nikaelewa ila nilijiepusha sana kukariri. Pia haikuwa katika kiwango cha advanced au specialization.
Jibu lilikuwa ni ndiyo au hapana....... Cha ajabu umetumia maneno kibao kuupamba utupu wako wa hesabu.
 
Wewe ulimuona na kubali lakini kula mzigo watuongopea na wajiongopea
 
Jibu lilikuwa ni ndiyo au hapana....... Cha ajabu umetumia maneno kibao kuupamba utupu wako wa hesabu.
Isije nikawa naongea na welewale! Achilia mbali utupu, kwani aliyekwambia nina 'ujazo' wa hesabu ni nani!?
 
tanzania ina vichaa wengi kuliko tunavyodhani tafiti irudiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…