Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Kuna haja ya kuuliza wanaotaka kujiunga jf vyeti kabla ya kuruhusiwa kujiunga. Vyeti vya kuzaliwa na vya kusoma. Hivi mtoa mada nae ni great thinker?
 
Hii kweli awamu ya Tano
Ndoto kila mchana na si usiku tena
 
Kweli hali mtaani ngumu yani 50,000 tshs imekufanya uchanganyikiwe.
Nimerudia kusoma mara 3 nikahisi labda ulipewa 50,000,000 tshs.
Aisee nakuombea kwa Mola huyo dada asije kukupatia milioni moja unaweza gongwa na gari kwa kihoro utakachopata.
Ahahahahahahah
 
Hapa naona waliofanya tafiti na kupata ratio ya 4:1 itabidi warudi kwenye data analysis maana huenda ratio sahihi ni 4:3!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 maaamae
 
Nilicho gundua ni kwamba vijana Wote tumeamua kuhamia NCHI YA KUSADIKIKA, haiwezekani mtu aote ndoto za aina hii mchana kweupe hivi.
 
Kuna haja ya kuuliza wanaotaka kujiunga jf vyeti kabla ya kuruhusiwa kujiunga. Vyeti vya kuzaliwa na vya kusoma. Hivi mtoa mada nae ni great thinker?
Wewe umekula maharage ya wapi Wewe kichaa chako peleka kwenu nyoko wewe
 
Kuna haja ya kuuliza wanaotaka kujiunga jf vyeti kabla ya kuruhusiwa kujiunga. Vyeti vya kuzaliwa na vya kusoma. Hivi mtoa mada nae ni great thinker?
Kutoa mada hadi uwe una elimu gan we utakua unapigwa miti sio bure tena koma mother fuker
 
Jamaa kala fifte (50) Leo sio mwenzetu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38]
 
Nimekusoma mshkaji wangu nanyupu, kumbe wewe ni marioo, halafu unakua bize kusema hizo tabia ni za wanaume wa Dar.

Sema tuma picha za shemeji nizione.
Shem keshampiga chini mchizi wetu nanyupu baada ya kukutana habari inayomuhusu hapa JF hivo mchizi wetu nanyupu keshakua mwenzetu na tupo nae kwenye ground state[emoji23]
 
Bora nipatie ukimwi kwa yule sio kwa videmu ambavyo havina hela na havijui kuoga kutwa vinanuka kwapa
Ponda Mali kufa kwaja mchizi wetu nanyupu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shem keshampiga chini mchizi wetu nanyupu baada ya kukutana habari inayomuhusu hapa JF hivo mchizi wetu nanyupu keshakua mwenzetu na tupo nae kwenye ground state[emoji23]
Acha masikhara,
 
Shem keshampiga chini mchizi wetu nanyupu baada ya kukutana habari inayomuhusu hapa JF hivo mchizi wetu nanyupu keshakua mwenzetu na tupo nae kwenye ground state[emoji23]
Hahaha yeye haingiagi humu mkuu bado nafaid matunda punguza wizu
 
Hapa naona waliofanya tafiti na kupata ratio ya 4:1 itabidi warudi kwenye data analysis maana huenda ratio sahihi ni 4:3!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…