Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Kuwa makini sana na pia ogopa vya watu sana wanyooshaji wa marinda wamebuni njia mpya ya kuwarubuni wageni kwani watu wa mikoani wanapenda vya bure sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana matatizo ya nguvu za kiume. Kama Hana anaruhusiwaa.Usikule chips
Mkuu inaelekea umekomaa kama babu yetu mize.......pNatokea Itilima Simiyu huku
Kivipi mkuu[emoji41] [emoji41] ??Ila wewe Balimi Ndogo una mambo kweli.
Naona umepata fursa ya kusindikiza gari la kubeba ng"ombeNatokea Itilima Simiyu huku
Usisahau na kivukoni mkuu....wapo JKT Ni marufuku pia..kwenye vituo vya mwendokasi hawaruhusu kupiga picha, zingatia
Fikia mwanza Kwanza mkuu dar kwako bado Sana....Natokea Itilima Simiyu huku
Umechanganya angali vzr ulichoandikaWewe unatoka hapo Lindi unaenda mji wa wanaume wa kulialia wanaomba mwanamke awasaidie
Hapo ukifika mbagala utaona tu wanaume walivyo walegevu
Mwanzo alikuwa hajataja anapo tokea ndio maana niliandika hivyo au wapi hujaelewa?Umechanganya angali vzr ulichoandika
Mbagala umewahi fika lknMwanzo alikuwa hajataja anapo tokea ndio maana niliandika hivyo au wapi hujaelewa?
Mkuu nimefika na nina wenyeji wangu wanafanya biashara hapoMbagala umewahi fika lkn
Kama kweli sasa angalia msg yako ya mwanzo hujanikosea Ila nilitala kujua kama Mbagala niijuayo ndio unayoisema [emoji14] [emoji14] [emoji14]Mkuu nimefika na nina wenyeji wangu wanafanya biashara hapo
Kama nimekukwaza tusamehane mkuu maana najua mbagala ndio mwanzo wa mji kuchangamka