G Godfrey joseph kimar Member Joined Jun 13, 2013 Posts 14 Reaction score 0 Sep 24, 2013 #1 Waombaji wa mikopo 324 inawezekana kukosa mikopo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo walioambiwa wapeleka nyaraka muhimu ambazo awakuambatanisha awali hawakufanya hivyo sababu nyingine ni ufinyu mdogo wa bajeti. Source: KUTOKA JIKONI
Waombaji wa mikopo 324 inawezekana kukosa mikopo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo walioambiwa wapeleka nyaraka muhimu ambazo awakuambatanisha awali hawakufanya hivyo sababu nyingine ni ufinyu mdogo wa bajeti. Source: KUTOKA JIKONI
F Flammable JF-Expert Member Joined May 1, 2013 Posts 872 Reaction score 103 Sep 24, 2013 #2 Dah!God will make the way where seemed to be no way
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Sep 24, 2013 #3 Jamani hizi habari tumezichoka. taarifianeni huko kwenye facebook au sms.
Darius JF-Expert Member Joined Jun 16, 2013 Posts 1,951 Reaction score 320 Sep 24, 2013 #4 umejuaje kama 324 ndo watakosaa! Coz habar aisem hivyo.! Hebu rudia kusoma www.habarileo.co.tz
G Godfrey joseph kimar Member Joined Jun 13, 2013 Posts 14 Reaction score 0 Sep 24, 2013 Thread starter #5 Hata vitbu vya dini vimeandika kusikia mtasikia lakini hamtaelewa
G Godfrey joseph kimar Member Joined Jun 13, 2013 Posts 14 Reaction score 0 Sep 24, 2013 Thread starter #6 Hii inatoka jikon tukiandika vyote kwenye gazet alitoshi
M mtumishi wa wote Member Joined Sep 16, 2013 Posts 83 Reaction score 10 Sep 24, 2013 #8 Hongereni naona ni wachache sana....
chatts55 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2012 Posts 600 Reaction score 97 Sep 24, 2013 #9 unaskia wapi?
J Justine malili Member Joined Jul 20, 2013 Posts 17 Reaction score 5 Sep 24, 2013 #10 mimi nachotaka tamko kutoka heslb wenyewe..! huko jikoni kaa na dada zako muendelee kupika tu!
F Flammable JF-Expert Member Joined May 1, 2013 Posts 872 Reaction score 103 Sep 24, 2013 #11 Justine malili said: mimi nachotaka tamko kutoka heslb wenyewe..! huko jikoni kaa na dada zako muendelee kupika tu! Click to expand... hahahahahahaha,umenichekesha kjana
Justine malili said: mimi nachotaka tamko kutoka heslb wenyewe..! huko jikoni kaa na dada zako muendelee kupika tu! Click to expand... hahahahahahaha,umenichekesha kjana
D Dixon Divox Member Joined Aug 22, 2013 Posts 61 Reaction score 36 Sep 24, 2013 #12 Nadhani utakua kati yao????
Y young k Senior Member Joined Aug 18, 2013 Posts 141 Reaction score 16 Sep 24, 2013 #13 Acheni ubishi si mkasome kwenye vyombo vya habari kama,Nipashe,The citizen n.k.
E edolight Member Joined Sep 21, 2013 Posts 18 Reaction score 5 Sep 24, 2013 #14 Flammable said: hahahahahahaha,umenichekesha kjana Click to expand... hahhahaha
A Ammy Emmy Senior Member Joined Jul 31, 2013 Posts 141 Reaction score 24 Sep 24, 2013 #15 Dah mia tatu ni wachache sana
A Al-shabaab JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,791 Reaction score 619 Sep 24, 2013 #16 Ammy Emmy said: Dah mia tatu ni wachache sana Click to expand... kwahiyo ulitaka wawe mamilion o?
M mzee wa kismati JF-Expert Member Joined Aug 25, 2013 Posts 2,292 Reaction score 798 Sep 24, 2013 #17 Toka hapa mzush wewe
Mbrazili JF-Expert Member Joined May 7, 2013 Posts 649 Reaction score 90 Sep 24, 2013 #18 Olaph.uk said: Kaka nasikia ka 3000 Click to expand... Endelea kusikia hivyo hivyooo
J josephina mapunda Member Joined Jun 24, 2013 Posts 37 Reaction score 1 Sep 25, 2013 #20 aaha wapi heslb website hakuna nyie mnatoa wapi?