Mia tatu kukosa mikopo HESLB

Mia tatu kukosa mikopo HESLB

Joined
Jun 13, 2013
Posts
14
Reaction score
0
Waombaji wa mikopo 324 inawezekana kukosa mikopo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo walioambiwa wapeleka nyaraka muhimu ambazo awakuambatanisha awali hawakufanya hivyo sababu nyingine ni ufinyu mdogo wa bajeti.

Source: KUTOKA JIKONI
 
Jamani hizi habari tumezichoka. taarifianeni huko kwenye facebook au sms.
 
Acheni ubishi si mkasome kwenye vyombo vya habari kama,Nipashe,The citizen n.k.
 
Back
Top Bottom