Miaka 10 baadae, Unakumbuka nini kutoka katika Fainali hii?

Miaka 10 baadae, Unakumbuka nini kutoka katika Fainali hii?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Katika dimba la Luzhniki, pale jijini Moscow, miaka 10 iliyopita ilipigwa fainali ya aina yake.
Fainali ya Uefa Champions League, ambapo ilikutanisha timu mbili kutoka Uingereza. Man Utd Vs Chelsea. Dakika 90, ziliisha kwa 1-1 mtanange ukaelekea extra time bado ikawa 1-1.
Mechi ikaingia ktk changamoto ya penati, Man Utd ikashinda 6-5 dhidi ya Chelsea huku Nahodha wa Chelsea John Terry akikosa penati muhimu. Unakumbuka ulikuwa wapi? Unakumbuka nini?
Karibuni...
300px-Man_Utd_vs_Chelsea_2008-05-21.svg.png
 
Back
Top Bottom