ijia keki basi kwa kutimiza miaka 10Baadhi ya ninayokumbuka na mambo mazuri toka hapa
1. Email toka kwa nisiyemfahamu kutaka nijiunge Jambo Forum mwaka 2006
2. Enzi ambapo Invisible alikuwa maarufu sana
3. Nakumbuka habari nyeti mno za ndani toka serikalini ulikuwa unazipata za moto moto toka hapa
4. We dare to speak openly
5. Issues za ufisadi zilianzia hapa
6. Akina Dr. Slaa na wanasiasa wengine machachari walikuwa active hapa
7. Siwezi sahau FieldMarshal (Sauti ya umeme) alivyo ingiza mjini watu hapa anataka awapeleke ulaya na amerika maana ana connection kule. Watu wengi wakajitokeza. Nadhani with time kumbe ndo Lemutuz mwenyewe
8. Nakumbuka mengi sana ingawa mm si mwandikaji ni msomaji zaidi, nimeelimishwa sana na JF
9. Kuna kipindi tulichangia michango ya hela kuifanya JF iwe live na kununua space sijui saver huko nchi za mbali
10. Nakumbuka kutiwa mbaroni kwa Max the founder watu wakaanza tafuta habari mpaka akaachiwa
11. Ziko mambo mengi sana nimepata hapa......
Le super kibamiaz, liliwatia watu chaka.Mkuu ebu elezea kuhusu le kokobanga alivyowaongiza watu mjini kuhusu kwenda ulaya
Naomba unitag pls ahahaaDooo ilikuwa noma noma sana ngoja nikutafutie kitu uperuzi mwenyewe kama bado kitakuwepo
Nitashkuru sana mkuuDooo ilikuwa noma noma sana ngoja nikutafutie kitu uperuzi mwenyewe kama bado kitakuwepo
Lifukue hilo kaburi liweke hapaDooo ilikuwa noma noma sana ngoja nikutafutie kitu uperuzi mwenyewe kama bado kitakuwepo
Ndio nataka kusikia ilikuwaje yaanLe super kibamiaz, liliwatia watu chaka.
Embu tutajie ID yake aliyokua akiitumi wakati huoDooo ilikuwa noma noma sana ngoja nikutafutie kitu uperuzi mwenyewe kama bado kitakuwepo
Aahahah afukue tu no wayLifukue hilo kaburi liweke hapa
Ndio nataka kusikia ilikuwaje yaan
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ebu tafuta huo uzi tuwekee linkInadaiwa enzi hizo kama Wazee wa Sauti ya Umeme Field Marshal E.S alitaka kutapeli Dola 300 za watoto wa masikini kuikabili hali ngumu aliyokuwa anapitia huko ughaibuni baada ya watu kumstukia akasalimu amri. Bado naitafuta huo uzi...
Iyo namba 7 ndo kali, kipindi hicho hakukua na great thinkers au pengine walikua wachache
Nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23] le baharia alikuwa anatafuta nauli ya kurudi bongo aje awe kuhadi mpambeInadaiwa enzi hizo kama Wazee wa Sauti ya Umeme Field Marshal E.S alitaka kutapeli Dola 300 za watoto wa masikini kuikabili hali ngumu aliyokuwa anapitia huko ughaibuni baada ya watu kumstukia akasalimu amri. Bado naitafuta huo uzi...