Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
Ahahaa kumbe nyani ngabu alipatia visa jf?Wee enzi hizo na kabla ya hapo deal ilikuwa kwenda Ulaya na Marekani tena kwa kuzamia. Deal la mentali. Nakumbuma Sugu alikuwa anaitwa 2-Proud. So mambo yote ni kwenda hasa marekani acha kabisa.
AhahaaaaNimecheka [emoji23][emoji23][emoji23] le baharia alikuwa anatafuta nauli ya kurudi bongo aje awe kuhadi mpambe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ebu tafuta huo uzi tuwekee link
Asante ngoja tukamkokobange huko ndani [emoji23][emoji23][emoji23]Pambana na hali yako hapa..
Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!
Natumia simu naomba uingie kwenye huo uzi then unimention mkuuPambana na hali yako hapa..
Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!
Asante sana mkuu ngoja nisomePambana na hali yako hapa..
Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!
[emoji3][emoji3][emoji3] uzi mod wameupiga [emoji357] no CommentAsante ngoja tukamkokobange huko ndani [emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah nimeona no comment wamenikata maini ningeenda kumtag I'd yake ya Sasa japo hayuko active Kama zamani [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] uzi mod wameupiga [emoji357] no Comment
Now anatumia ID ipi?Yeah nimeona no comment wamenikata maini ningeenda kumtag I'd yake ya Sasa japo hayuko active Kama zamani [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shauri yako nitakuchungulia tenaMpe hongera una ninii lakini
Le kibamia him selfMkuu ebu elezea kuhusu le kokobanga alivyowaongiza watu mjini kuhusu kwenda ulaya
Ahahhh le kokobanga alitaka kupiga watu dollar 300Le kibamia him self