Miaka 10 Natimiza Leo JF nakumbuka haya

Miaka 10 Natimiza Leo JF nakumbuka haya

Wee enzi hizo na kabla ya hapo deal ilikuwa kwenda Ulaya na Marekani tena kwa kuzamia. Deal la mentali. Nakumbuma Sugu alikuwa anaitwa 2-Proud. So mambo yote ni kwenda hasa marekani acha kabisa.
Ahahaa kumbe nyani ngabu alipatia visa jf?
 
509e4a5cf48b8a2cde0abe1005c3e523.jpg


Hii account kaacha kuitumia mwaka 2015.
 
Back
Top Bottom