Miaka 10 ndani ya JF

Miaka 10 ndani ya JF

NAKWEDE

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2007
Posts
27,970
Reaction score
35,168
Siku zinakwenda hazigandi.

Naona kama vile ni juzi juzi 1/8/2007 nilipojiunga na Mtandao wa JamboForums ambao kwa sasa ni Jamiiforums.

Shukrani za pekee zimuendee Nova Makunga ndie aliyenihamasisha kujiunga na www.jamboforums.com.

Kwa kipindi kinachoelekea kufikisha miaka 10 humu nimefahamiana na watu wengi, wazuri na wengine wa "hovyo hovyo"

Katika mtando huu www.jamiiforums.com nimeona wana uwezo wa kufanya mambo mengi, pia kuna mapungufu mbalimbali, wana fursa mbalimbali na hata matishio mbalimbali.

Mungu ibariki Jf, Mungu wabariki members wake wenye akili timamu, Mungu mbariki mwanzilishi wa JF.

JF sitoki ng'oooo
 
Hongera sana mkuu, hakika wewe ni muhenga. Sikujua kama jamiiforum mwanzo iliitwa jamboforum!
 
sipendi uchokozi ndugu yangu! nakusihi lakini. kama unapenda tuheshimiane kama hupendi basi tuendelee kuchimbana chimbana. una akili zako timamu unaweza kusikiliza upuuzi wa Jordi Poli. enewei nakuheshimu naomba tuendelee kuheshimiana Mondray.
Hongera sana..msamehe hakujui anabahatisha au anataka sifa.. HAKUJUI KABISA
 
Siku zinakwenda hazigandi.

Naona kama vile ni juzi juzi 1/8/2007 nilipojiunga na Mtandao wa JamboForums ambao kwa sasa ni Jamiiforums.

Shukrani za pekee zimuendee Nova Makunga ndie aliyenihamasisha kujiunga na www.jamboforums.com.

Kwa kipindi kinachoelekea kufikisha miaka 10 humu nimefahamiana na watu wengi, wazuri na wengine wa "hovyo hovyo"

Katika mtando huu www.jamiiforums.com nimeona wana uwezo wa kufanya mambo mengi, pia kuna mapungufu mbalimbali, wana fursa mbalimbali na hata matishio mbalimbali.

Mungu ibariki Jf, Mungu wabariki members wake wenye akili timamu, Mungu mbariki mwanzilishi wa JF.

JF sitoki ng'oooo
Wakat wa jambo forum ilikuwa shangwe sana humu.

Hili wale waliokuwawashusha nondo wako wapi siku hizi? Ama ndo kubadilika na Hali ya maisha kiasi kwamba mada bobevu tumeziona nimepitwa n wakati?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zinakwenda hazigandi.

Naona kama vile ni juzi juzi 1/8/2007 nilipojiunga na Mtandao wa JamboForums ambao kwa sasa ni Jamiiforums.

Shukrani za pekee zimuendee Nova Makunga ndie aliyenihamasisha kujiunga na www.jamboforums.com.

Kwa kipindi kinachoelekea kufikisha miaka 10 humu nimefahamiana na watu wengi, wazuri na wengine wa "hovyo hovyo"

Katika mtando huu www.jamiiforums.com nimeona wana uwezo wa kufanya mambo mengi, pia kuna mapungufu mbalimbali, wana fursa mbalimbali na hata matishio mbalimbali.

Mungu ibariki Jf, Mungu wabariki members wake wenye akili timamu, Mungu mbariki mwanzilishi wa JF.

JF sitoki ng'oooo
hatimae umetmiza miaka 10. Pongezi sana NAHUJA

Sent from my Android phone
 
Awe ni KE awe ni ME inahusu nini ni maisha yake kama ameamua kuishi hivyo hakuna ubaya wowote. Ubaya ni kama atataka kukutapeli basi.

Kila mtu apambane na hali yake.

BTW hongera kwa 10th anniversary
 
Back
Top Bottom