[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Juzi kati baba ako alipita job woiiiii nilimkwepa akahudumiwa na mtu mwingine story ndefu nitakutumia vn WhatsApp kama nakuona utakavyocheka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unanitafutia kesi anajua kudai huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi mi ni kasumbufu kwaniKila kitu, wewe mwenyewe tuu ni changamoto
Na mimi mwakani jamaniNitakuandalia keki
Saaaanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi mi ni kasumbufu kwani
Nikumbushe bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwacheee
KhaaaaaHahhaha ebu uko hakuna zawadi hata
Hongera.Siku mbili zilizopita RRONDO nimetimiza miaka kumi ndani ya JF. Wengi huwa wanauliza kwanini nimejiita RRONDO ni Rajon Rondo ambae nilikuwa nafananishwa nae kwenye basketball court.
Katika miaka hii 10 sijawahi kupigwa ban na haina maana ni mtakatifu basi tu inatokea. Nimepata marafiki wengi sana,connections za biashara kibao. Kifupi nilipojiunga JF mpaka leo nimepiga hatua.
Kiukweli nilijiunga 2006 au 7 enzi za Jambo Chat kama sijakosea, baadae mhusika mkuu akanishawishi nijiunge forum kwani kuna mijadala mizuri.
Ile ID ya enzi hizo niliiacha kwasababu nilijilipua sana kwasababu ya ujana. Ila Maxence Melo inabidi sasa niwe Platinum member kwani shingapi?
Happy New year everyone
Anajua kudai jamaniUshaipata hio kesi
Jamani jamani na uzee huu kweliSaaaanaa
Katika miaka hii 10 sijawahi kupigwa ban na haina maana ni mtakatifu basi tu inatokea.
Kiukweli nilijiunga 2006 au 7 enzi za Jambo Chat kama sijakosea, baadae mhusika mkuu akanishawishi nijiunge forum kwani kuna mijadala mizuri.
Huwezi ku-fake 100% kuna viuhalisia vinajitokeza[emoji3][emoji3][emoji3] ila pacha wewe, misimamo yangu mimi uliiona wapi? Hii ya nyuma ya keyboard? Usidanganyike
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, na wewe mwezi ujao unagonga one decade! Nimekumbuka hio miziki. Mijadala ilikuwa mizito unachungulia tu kwa mbaliHongera mkuu...
Ile kitambo wengi wetu tulisahau password, vile Jambo Forums sehemu kubwa mijadala ilikuwa siasa kwa kiasi kikubwa...
Unajipata mtu ulikuwa unaingia tu kama guest kusikiliza miziki haswa zilipendwa (kwa ile embedded online player, baadaye ilikuja tolewa)..
Sina banaNikumbushe bwana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe bado miaka mitano...mpaka Magu atoke π π π π
Hahaha mimi mara nyingi nachangamshaga genge tu sina loloteHuwezi ku-fake 100% kuna viuhalisia vinajitokeza
Lini umezeeka eti dadaJamani jamani na uzee huu kweli