Miaka 10 ndani ya JF

Miaka 10 ndani ya JF

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Juzi kati baba ako alipita job woiiiii nilimkwepa akahudumiwa na mtu mwingine story ndefu nitakutumia vn WhatsApp kama nakuona utakavyocheka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile siku nilicheka mnoo!! Naomba mwaka huu yasijirudie kabisaa jamani
 
Siku mbili zilizopita RRONDO nimetimiza miaka kumi ndani ya JF. Wengi huwa wanauliza kwanini nimejiita RRONDO ni Rajon Rondo ambae nilikuwa nafananishwa nae kwenye basketball court.

Katika miaka hii 10 sijawahi kupigwa ban na haina maana ni mtakatifu basi tu inatokea. Nimepata marafiki wengi sana,connections za biashara kibao. Kifupi nilipojiunga JF mpaka leo nimepiga hatua.

Kiukweli nilijiunga 2006 au 7 enzi za Jambo Chat kama sijakosea, baadae mhusika mkuu akanishawishi nijiunge forum kwani kuna mijadala mizuri.

Ile ID ya enzi hizo niliiacha kwasababu nilijilipua sana kwasababu ya ujana. Ila Maxence Melo inabidi sasa niwe Platinum member kwani shingapi?

Happy New year everyone
Hongera.
Nitakutafuta unipe connection za biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika miaka hii 10 sijawahi kupigwa ban na haina maana ni mtakatifu basi tu inatokea.

Kiukweli nilijiunga 2006 au 7 enzi za Jambo Chat kama sijakosea, baadae mhusika mkuu akanishawishi nijiunge forum kwani kuna mijadala mizuri.

Hongera mkuu...

Ile kitambo wengi wetu tulisahau password, vile Jambo Forums sehemu kubwa mijadala ilikuwa siasa kwa kiasi kikubwa...

Unajipata mtu ulikuwa unaingia tu kama guest kusikiliza miziki haswa zilipendwa (kwa ile embedded online player, baadaye ilikuja tolewa)..
 
Hongera mkuu...

Ile kitambo wengi wetu tulisahau password, vile Jambo Forums sehemu kubwa mijadala ilikuwa siasa kwa kiasi kikubwa...

Unajipata mtu ulikuwa unaingia tu kama guest kusikiliza miziki haswa zilipendwa (kwa ile embedded online player, baadaye ilikuja tolewa)..
Asante, na wewe mwezi ujao unagonga one decade! Nimekumbuka hio miziki. Mijadala ilikuwa mizito unachungulia tu kwa mbali
 
Back
Top Bottom